Maisha ni asili kama hautoi ni ngumu kupata kwa mtiririko mzuri

Maisha ni asili kama hautoi ni ngumu kupata kwa mtiririko mzuri

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Hata Kama una Maisha Magumu jiwekee utaratibu wa kutoa hata kidogo unachopata .

Yaani kipindi nilipokuwa bahili nilikuwa sipati pesa hata kidogo nilikuwa naishi kiujanja ujanja

Lakini hii kanuni ukipata unatoa kidogo wahitaji Basi ngumu kukosa kitu

Yaani Kama hautoi Mfumo unakuruka unaenda kwa Mwingine .

Nakumbuka kipindi nipo Mdogo Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa prof wa udsm yule Jamaa anatoa Sana kwa wahitaji Basi Mambo yake yalikuwa yapo vizuri Sana

Lakini mke wake alikuwa bahili Sana Basi pamoja na mke wake kuwa prof lakini madili na safari za mara kwa mara za ulaya alikuwa hapewi.

Tatizo sisi masikini hatuamini katika kutoa ndo maana Maisha Yana kuwa Magumu Sana. Tunapenda kupokea tu lakini kutoa hatutaki.
 
Ni kweli, ila sasa mi sina ela inabidi nianze kutoa nilichonacho nione which is which
 
Giving is an art, sio kila mtu ni artist of giving….thou wote tunapaswa tujifunze kutoa. There is a lot of blessings kwenye kutoa
 
Hata Kama una Maisha Magumu jiwekee utaratibu wa kutoa hata kidogo unachopata .

Yaani kipindi nilipokuwa bahili nilikuwa sipati pesa hata kidogo nilikuwa naishi kiujanja ujanja

Lakini hii kanuni ukipata unatoa kidogo wahitaji Basi ngumu kukosa kitu

Yaani Kama hautoi Mfumo unakuruka unaenda kwa Mwingine .

Nakumbuka kipindi nipo Mdogo Kuna ndugu yangu mmoja alikuwa prof wa udsm yule Jamaa anatoa Sana kwa wahitaji Basi Mambo yake yalikuwa yapo vizuri Sana

Lakini mke wake alikuwa bahili Sana Basi pamoja na mke wake kuwa prof lakini madili na safari za mara kwa mara za ulaya alikuwa hapewi.

Tatizo sisi masikini hatuamini katika kutoa ndo maana Maisha Yana kuwa Magumu Sana. Tunapenda kupokea tu lakini kutoa hatutaki.
Hii ni siri kubwa ya kufanikiwa maishani.
 
Back
Top Bottom