francis kibiki
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 477
- 516
life ni gumu aiseee mpaka naacheka mwenyewe yaan, moja haikai mbili haikai nikiangalia sim yangu niingie upande wa contact naona hamna mwenye msaada kwangu naishia tu kufuta majina ivi wandugu tutafika kweli?