Maisha ni magumu sana dah

life ni gumu aiseee mpaka naacheka mwenyewe yaan, moja haikai mbili haikai nikiangalia sim yangu niingie upande wa contact naona hamna mwenye msaada kwangu naishia tu kufuta majina ivi wandugu tutafika kweli?
Bado haijauma vizuri.
 
I made 25M in two months... Ni swala la :-
1. Kuwa tayari
2. Kuamua
3. KuJikubali
4. Kuwa na connection sahihi
5. Kuhakikisha kila dakika unafanya kitu chenye manufaa kwenye biashara au kiazi yako hiyo uliyowekeza

Sent using Uncesored Device
Uliiba wapi?
 
Unawajua watu wote humu? Afadhali ungemuacha atumie hao wanaosema wanatenheneza 25m kama changamoto kumpa moyo kuwa inawezekana kutoka hapo alipo.
#GetAngry #BeInspired
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]msala kama huu ulinikuta last month ikabidi niende chumba cha jirani kuomba gesi niivishe,kesho yake ikanibidi nitafute kajiko ka mkaa na mkaa wa jero vikanisukuma siku kadhaa nikapata hela nikanunua gesi,but now gesi ipo ila ndani hata punje ya Mchele wala tone la mafuta hakuna na mfukoni ni mabovu kupindukia [emoji16][emoji16]
yaan mimi ndo sijui ata kesho itakuaje aisee maana nilikuwa naanza kupik gesi imekata afu sina ata mia mbov yaan afu imekatikia ata msosi haujaiva nikacheka mwenyew yaaan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengine wanakurupuka tu bila kujua watu tunaishije hizi simu janja wanaona kila mtu kama anamiliki IPhone au Samsung kumbe watu tuna vitecno vya miaka hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
life ni gumu aiseee mpaka naacheka mwenyewe yaan, moja haikai mbili haikai nikiangalia sim yangu niingie upande wa contact naona hamna mwenye msaada kwangu naishia tu kufuta majina ivi wandugu tutafika kweli?
Mkuu kwanza pole sana..!! Me naomba nikuibie Siri...ulishawahi kujaribu kubet!?? Sikushauri uifanye kuwa kazi yako. Lkn kwa sasa kwa vile huna sehemu maalum ya kukuingizia kipato jaribu kuifanya km burudani. Download app za kubet hapohapo kwenye simu yako. Zipo app ambazo unabet hata Tsh.100. mfano Betpawa. Kubet mfano mpira wa miguu hakuna wizi ni bahati yako. Kwa sababu wachezeshaji hakuna namna ya kuifanya timu ishinde au ifungwe. Na ni mechi ambazo unaweza kuziangalia kupitia hata site zingine.

Mkuu mimi mwaka juzi 2017 nilipigika sana,yaani nilikuwa namaliza hata wiki sijapata elf 10. Kuna dogo alikuja kwangu ndo akaniambia hii habari aisee huwezi amini nimepata mtaji kwenye kubet. Hawa jamaa wana jackpot ya milioni 200. Ukipatia mechi 17. Mm nilipata mechi 16 kati ya 17 nikapata bonus ya milioni 10 na nilikuwa peke yangu. Siku hizi hata kubet nimesahau kwa sababu ya ubusy na kazi baada ya kupata mtaji.

Me nakushauri uwe unabet tu hela kidogo unayopata unaweza kubet 100 hata 500. Ipo siku bahati inaweza kukuangukia. Lkn usiifanye kuwa kazi yako maana pesa yote itakuwa inaishia hapo...!! Na ukubali maumivu,maana kuna wakati utapoteza mechi moja tu ambayo ingekupatia pesa kibao. Fikiria mm nilikosa mechi moja tu ili nipate milioni 200. Lkn nashukuru ile milioni 10 ndo naendeshea maisha kwa sasa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
life ni gumu aiseee mpaka naacheka mwenyewe yaan, moja haikai mbili haikai nikiangalia sim yangu niingie upande wa contact naona hamna mwenye msaada kwangu naishia tu kufuta majina ivi wandugu tutafika kweli?
Dah....piga kazi...acha kulialia...mtoto wa kiume wewe [emoji41]

Sent using Beretta ARX 160
 
I made 25M in two months... Ni swala la :-
1. Kuwa tayari
2. Kuamua
3. KuJikubali
4. Kuwa na connection sahihi
5. Kuhakikisha kila dakika unafanya kitu chenye manufaa kwenye biashara au kiazi yako hiyo uliyowekeza

Sent using Uncesored Device
Mkuu uliuza bangi?
 
Story za ruge na nick wa pili
I made 25M in two months... Ni swala la :-
1. Kuwa tayari
2. Kuamua
3. KuJikubali
4. Kuwa na connection sahihi
5. Kuhakikisha kila dakika unafanya kitu chenye manufaa kwenye biashara au kiazi yako hiyo uliyowekeza

Sent using Uncesored Device
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…