Gonzalo Miguel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 850
- 656
Subiri dk 1 nakuja naenda kunywa maji choon narudiHabari za Saizi WanaJF
Katka Kuchakarka na maisha kuzisaka dinero, Kipindi hiki cha Holy Jiwe ambapo kwa wafanyabiashara wadogo kam mimi zmekuwa mbali sana kuzpata mpaka uwe na visa aisee.
Asa katka kupumzka kdg na shughuli hizi za kelele.Mawazo yakanichukua na kuanza kuwaza
Maisha ni Nn?
Ni Maana ya maisha?
Kila nikiwaza jibu linalo kuja kchwani kuwa Maisha ni PESA.Mpaka sasa napata ukakasi kukubaliana na jibu langu japo kama lina ukweli ivi
Je?Kwa mtazamo wenu wakuu maisha ni Nn?
Je Vp? Nn? maana ya maishaSwali dogo kama hilo linakupiga chenga maisha ni uhai ukifa maisha yameisha
Uhai ndio maisha na ukifa maisha yameisha na kila unachofanya ukiwa hai ndio maisha so maisha ni uhaiJe Vp? Nn? maana ya maisha
Na tukisema tunaish kwa lengo lipi?Uhai ndio maisha na ukifa maisha yameisha na kila unachofanya ukiwa hai ndio maisha so maisha ni uhai
ukimaanisha[emoji57]bangi nibangue lol