Maisha ni uchizi..!!

Maisha ni uchizi..!!

DEVINE

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2011
Posts
536
Reaction score
86
Juwa kwamba maisha ni uchizi.! Nina sababu kumi kudhibitisha hili_
Kwani kila siku;
1.Unachotaka hukipati(MAPENZI)
2.Unachokipata hukifurahii (NDOA)
3.Kinachofurahisha hakidumu (BOYFRIEND/GIRLFRIEND)
4.Kinachodumu kinakera (MUME/MKE)
5.Chenye thamani kinadhalilisha(FEDHA)
6.Kinachodhalilisha kinapendwa (ZINAA)
7.Kinacho ogopwa hakina maandalizi(KIFO)
8.Kinacho andaliwa hakiendelei (UHAI)
9.Vyakuzingatia havizingatiwi (IBADA)
10.Vinavyofuatwa havina maana(SIASA MBOVU & HUJMA).
=>JE NIKO SAHIHI?!
 
Haupo sahihi hata kidogo. Maisha ni uwendawazimu.
 
Wala hujakosea kasoro tu hatutembei uchi kwan km nikuongea peke yetu hata njian ishakuwa kawaida, maisha ni uchizi kbs.
 
Back
Top Bottom