Maisha ni uthubutu, usibweteke

Maisha ni uthubutu, usibweteke

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Za siku mingi bandugu.

Nimeandika uzi huu lengo niwasalimu tu na nijue wangapi walio active.. na ukurasa wetu huu pendwa wenye forums mbalimbali.

Nawasalimu wote.
Maisha yaendelee, usiache kufurahi, kama ni pesa tu ndio zinaweza kukupa furaha nakukumbusha tena hakuna Pesa bila kuteseka/kutaabika na Kazi Ngumu 😁
Kama sio akili yako iteseke sana basi viungo vyako lazima viteseke sanaa.
Lakini yote ya yote tudumu kwa kupendana..

Karibu wote wenye misongo, matatizo, ushauri, kuchoka, kufurahi, kucheka, kulia, kushangaa.

Ni mimi kijana mpole ninaependa ukorofi japo siuwezi sana na kuteseka kumekua kawaida na wanao nitesa ni binadamu wenzangu, nikizungumza hawanisikilizi, nikisema ya kweli hawataki kuamini, nikiomba penzi hawanipi sielewi hata kwanini. 😆

Ni hayo tu.

By Dr. Surya The Preacher
 
Za siku mingi bandugu.

Nimeandika uzi huu lengo niwasalimu tu na nijue wangapi walio active.. na ukurasa wetu huu pendwa wenye forums mbalimbali.

Nawasalimu wote.
Maisha yaendelee, usiache kufurahi, kama ni pesa tu ndio zinaweza kukupa furaha nakukumbusha tena hakuna Pesa bila kuteseka/kutaabika na Kazi Ngumu [emoji16]
Kama sio akili yako iteseke sana basi viungo vyako lazima viteseke sanaa.
Lakini yote ya yote tudumu kwa kupendana..

Karibu wote wenye misongo, matatizo, ushauri, kuchoka, kufurahi, kucheka, kulia, kushangaa.

Ni mimi kijana mpole ninaependa ukorofi japo siuwezi sana na kuteseka kumekua kawaida na wanao nitesa ni binadamu wenzangu, nikizungumza hawanisikilizi, nikisema ya kweli hawataki kuamini, nikiomba penzi hawanipi sielewi hata kwanini. [emoji38]

Ni hayo tu.

By Dr. Surya The Preacher
Kwanin wanakunyima jichunguze
 
Ukiomba penzi hawakupi maana unaa MKWANJAA mkuu...
 
Back
Top Bottom