Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Jamaa mmoja aliapa kuwa hatakula chakula cha mama nitilie. Alikuwa mfanyakazi mwenye mshahara wa kawaida sana.
Lakini aliweza kula hotelini kipindi chote alipokuwa kazini mpaka alipostaafu kwa hiyari 2017.
Ukijiapiza kuwa kuanzia leo sitatoa sadaka chini ya sh .elfu 10 ndio utaishi hivyo na hutapungukiwa.
Ukijiapiza kuanzia leo daladala na Mimi tutakutana barabarani tu , yes itakuwa hivyo.
Mwanadamu yeyote ndani yake Kuna nguvu, unfortunately wengi tunatumia % chache sana ya ile nguvu ya Kimungu ndani yetu that's why changamoto hazikatiki.
It's just kurise na kudeclare
Lakini aliweza kula hotelini kipindi chote alipokuwa kazini mpaka alipostaafu kwa hiyari 2017.
Ukijiapiza kuwa kuanzia leo sitatoa sadaka chini ya sh .elfu 10 ndio utaishi hivyo na hutapungukiwa.
Ukijiapiza kuanzia leo daladala na Mimi tutakutana barabarani tu , yes itakuwa hivyo.
Mwanadamu yeyote ndani yake Kuna nguvu, unfortunately wengi tunatumia % chache sana ya ile nguvu ya Kimungu ndani yetu that's why changamoto hazikatiki.
It's just kurise na kudeclare