National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
milambo baks, mlima wa shabaha 😅😅 nilikuwa nawinda digi digi kwenye huo mlima na maumbwa yanguu.. mzee wako kama anaju mkongwe .. shabaha kama unaenda airport kuna kambi paleHizo ni zaidi ya oysterbay🤣😀
Anhaa ngoja Niki enda, Nita pauliziaa🤣😂.milambo baks, mlima wa shabaha 😅😅 nilikuwa nawinda digi digi kwenye huo mlima na maumbwa yanguu.. mzee wako kama anaju mkongwe .. shabaha kama unaenda airport kuna kambi pale
Tuzidi kuzingatia yaliyo muhimu kwetu sote.Hakika, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Oyaa we mzee was mchongo, hebu share huo msimamo tujue🤒😀.Umenena vyema Mkuu, ngoja nisome hekima za Vijana then nitoe msimamo wa Wazee wa mwaka 47 😅
Usijali Mkuu, hapa kuna notes nazipitia tulisomaga Mwaka 46 wakati tupo high school na MwalimuOyaa we mzee was mchongo, hebu share huo msimamo tujue🤒😀.
👉Isije zikawa mbwembwe tu😀🤣🤒
Dah hi sio chai ni ulanzi😀😀😂.Usijali Mkuu, hapa kuna notes nazipitia tulisomaga Mwaka 46 wakati tupo high school na Mwalimu
Huku hamtavurugana tena?🤣🤣Mjep tume hamia Huku😂😀
Dah una taka kuanzisha ligi😀😂😂Huku hamtavurugana tena?🤣🤣