Maisha ni yako, usikubali kutolewa mchezoni

True, Ila Mimi huwa natumia chumvi ya mawe naogea kila siku na mbinu nyingine huwa siingizi wanawake Sehemu ninayoishi hata iweje
 
Mi hata hao wachuchu Sina😁😆
😁Kucheza kwa step ni muhimu sana sema kwa upande wa kiroho nimeshawathibiti wabaya wote natumia chumvi ya mawe 😁


Wanawake wanfunga Chakra unazijua Chakra?? Zikijifunga hatari Sana ndo ile utakuta Mtu mzima anarudi utotoni kifikra na kuwa na mawazo Kama ya mtoto


Kama tunapambana tuimarishe kimwili na kiroho
 
Ameen🙏💪
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…