Maisha Plus 2014

pitbull

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2011
Posts
596
Reaction score
184
Dah kuna mtu anailewa maisha plus ya mwaka huu..??
 
kwani imeshaanza kuoneshwa?:eek2::eek2::eek2::eek2::eek2:
 
Dah kuna mtu anailewa maisha plus ya mwaka huu..??

Mkuu hapo wako kwenye usaili katika kambi moja iringa na nyingine zanzibar ambapo wanatafuta vijana kuminasaba watakao ingia kijijini in a disclodes location maeneo ya pwani so baada ya usaili itaanza rasmi
 
Mkuu hapo wako kwenye usaili katika kambi moja iringa na nyingine zanzibar ambapo wanatafuta vijana kuminasaba watakao ingia kijijini in a disclodes location maeneo ya pwani so baada ya usaili itaanza rasmi

Ni vijana 18 ndio wanao tafutwa kutoka hivyo vijiji then watajiunga na wenzao 12 kutoka KE,UG,RW na BUR (kila nchi kutoa wa 4) then wataenda kijiji cha maisha plus wataungana na Mama shujaa wa chakula ambao watakuwa 30.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…