Wakuu salama
Naangalia hapa maisha plus, ninacho kiona hapa upeo wa vijana wa kiTanzania ni mgodo kuliko wa vijana kutoka nchi zingine.
Wanashindwa kabisa kujieleza, wanaulizwa nani angemchagua au kumpendekeza kuwa mshindi wa maisha plus kama yeye asinge kuwa mshiriki lakini wengi wao wanasema angeshinda mwenyewe wakati huo huo amebiwa achukulie sio mshiriki.
Tuna safari ndefu sana kujenga vijana wetu