Hivi tangu lini maskini akafilisika?? atafirisika nini sasa???? kufirisika kwa tajiri ni umillionair wa maskin acha kabisa!!...tunao firisika ni sisi matajiri wenye ukwasi!! yaani nihela tu itaisha kwenye mzunguko wangu!! lkn mighorofa yangu iko palepale!!!
AKILi ya utafutaji iko palepale!! connection zangu ziko palepale sasa nini