MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Kweli kabisa MJ1 hahahahaha lol! na mitihani ile ilivyo migumu Mhhhhh! Jamaa mmoja jana hapa jamvini alikuwa analalama kisharudia sijui CPA ipi kama ni one or two more than 5 times na kila wakati anatoka kapa sasa hitimisho lake ni kwamba NBAA ni bomu. Mbu hebu acha hizo Mkubwa za kufanyia bajeti hata sekunde chache tu! hahahaha lol!
hehehe hapo red naomba mkuu BAK anitafsirie.
Ahmaah!! Mara wangeuka best?? loh Nshakuwa mchokozi mie!!
Hahahah Mbu eh hebu kuja bana you know me loves you sana bana........but its gud to get this straight before hand.........sio vema kuendesha maisha kama unafanya mitihani ya CPA bana!!
(Mie leo sijui kama Mbu hajantema !!)
Mbu tenda ya maakuli ya arusi si utanipa mie eh?!
mwj1 wangu weee,....hujanifahamu ewe chokileti!
Hiyo wheel of life haipi rigid kusema ndindindi lazima hizo zote zi apply kila wakati kwenye maisha ya mtu.
Kuna nyakazi waweza zipunguza, kuna nyakati waweza zidisha hayo mapande nane ya keki ya maisha.
Ndio maana hapo awali niliweka comparison ya wheel of life na maslow pyramid.
mfano; jifikirie katika hayo mapande nane ya keki nawe ni bachelor/spinster/widower,..
lipi si muhimu kwako lapaswa kuondolewa?
lol, wewe wataka nifungiwe na mods hapa ee? Starehe yangu kweli hapo hujaiona, au wataka topik ipelekwe jukwaa la wakubwa? Hebu acha maskhara bana.... Nimesema kuanzia tano usiku nalala, inatosha kukujulisha starehe yangu i wapi.
Hizo twanga pepeta na njenje ni bonus tu...additional packages za soulmate, he he he...
halafu si nimesema kila mtu na priorities zake ama? Muhimu ni kuwa as reasonable as possible uta accomodate vipi tairi la mwenzio na lako ili gari la maisha yenu yaendelee.
Kweli kabisa MJ1 hahahahaha lol! na mitihani ile ilivyo migumu Mhhhhh! Jamaa mmoja jana hapa jamvini alikuwa analalama kisharudia sijui CPA ipi kama ni one or two more than 5 times na kila wakati anatoka kapa sasa hitimisho lake ni kwamba NBAA ni bomu. Mbu hebu acha hizo Mkubwa za kufanyia bajeti hata sekunde chache tu! hahahaha lol!
ha ha ha eeenh?
"Gari langu naliweka tinted, nitawaona lakini wao hawanioni ".
Sjui mmenielewa wajameni?
samahanini sitofafanua zaidi.
Shem.........unajua kwa nini wachaga wanafanikiwa kibiashara? Bwana Arusi akiwa anaoa atahakikisha 70% ya gharama za arusi zinarudi kwake......
1. Gari atakodisha la kwake!! (Ili mradi si pick up)
2. Chakula anatoa tenda kwa mkewe mtarajiwa (Kwa kesi hii ......... )
3. Ukumbi atapeleka kwenye Baa yake ya Massawee
4. Anatamani angekuwa na ujuzi wa kutengeneza biya.....angeichukua tena hiyo!!
Karibu shemeji yangu! Unatumia kinywaji gani?
Wallahi kweli inabidi kwenye dua zangu niweke ombi hilo kwa rabbana niache kilema cha kuhesabu muda bana, lol!...
presha za kujitakia zitaja ni cost maisha yangu na moyo wenyewe ulojaa matobo huu mnh!...
Mwj1, Klorokwini, na kaka BaK...nimewasikia nitajirekebisha Inshaallah.
khaa, 'Soulmate' sijawasiliana nae muda sasa...sijui keshanuna huko aliko?
Muda umenipita kwa distractions za JF!
Will be back after commercial break....
Dah! nilitegemea hautonielewa kwavile nilikusudia usinielewe lakini nashangaa umenielewa na sasa najiuliza zaidi ilikuwaje ukanielewa?
naomba togwa la mtama!
Wallahi kweli inabidi kwenye dua zangu niweke ombi hilo kwa rabbana niache kilema cha kuhesabu muda bana, lol!...
presha za kujitakia zitaja ni cost maisha yangu na moyo wenyewe ulojaa matobo huu mnh!...
Mwj1, Klorokwini, na kaka BaK...nimewasikia nitajirekebisha Inshaallah.
khaa, 'Soulmate' sijawasiliana nae muda sasa...sijui keshanuna huko aliko?
Muda umenipita kwa distractions za JF!
Will be back after commercial break....
Nilidhani "Funika kombe, klorokwini na BAK wapite" kumbe ni mipango ya bajeti tu. lolShemeji..................kwani ulidhanije? lol
Hahahahhahah amani nshanunua kesi siyo............we Mbu after Commercial Break urudi bana ah!!hahaha lol commercial break sio?, I hope MJ1 hii pia hatoita principle? MJ1 bana
Hahahahhahah amani nshanunua kesi siyo............we Mbu after Commercial Break urudi bana ah!!
Hii C.B mie nimeitafsiri kivingine .....ah am I too predictable?? Nkisikia C.B basi najiandaa!! loh Klorokwin naomba nikutafute kwa wakati wangu bana ah..............
Asante Mbu kwa mada nzuri mhh mie imenibidi niandike barua ya kuacha kazi maana imenibana vilivyoo nakosa hata muda wa mambo mengine, liwalo na liwe....
Nilidhani "Funika kombe, klorokwini na BAK wapite" kumbe ni mipango ya bajeti tu. lol
hehehehhe commercial break ya Mbu iko kwenye wheel of life bana, mbona unataka kuparaganya ratiba? inawezekana hapo alipo ni saa tano sasa.
Ukinitafuta ukuje peke yako usikuje na Mbu. No harm intended but Lawyer's privacy is always privledged.
mfano?Asante Mbu kwa mada nzuri mhh mie imenibidi niandike barua ya kuacha kazi maana imenibana vilivyoo nakosa hata muda wa mambo mengine, liwalo na liwe....
Take it easy sweetheart, we were just pulling your legs baby.
............Kuna ulichokosa hapa eh? ah haya bwana jitihada zangu zoote kujitia 'mjuaji' nikuwin bado nakamata namba mbili!!
Tamaa sikati, sijachoka kusubiri
hahaha lol commercial break sio?, I hope MJ1 hii pia hatoita principle? MJ1 bana
Asante Mbu kwa mada nzuri mhh mie imenibidi niandike barua ya kuacha kazi maana imenibana vilivyoo nakosa hata muda wa mambo mengine, liwalo na liwe....