Syston
JF-Expert Member
- Nov 6, 2017
- 243
- 351
Zamani mtu akipiga picha anaomba Negatives ( Ilizoeleka nega) na ana albam ya picha nyumbani, siku hizi mtu akipiga picha anaomba camera man amtumie WhatsApp na ana albam ya picha google photo , Tunakoenda camera man mjiandae maana utampiga mtu picha afu ataomba aondoke na Camera kabisa.