Maisha ya Dar es Salaam miaka ya 1950

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
DAR ES SALAAM YA MIAKA YA 1950

Naeleza maisha ya wenyeji wa Dar es Salaaam ya 1950 kama nilivyoyakuta wakati nazaliwa.

Nagusia barza za kahawa na wauza kahawa, naeleza picha kutoka Maktaba ya Ali Msham iliyopigwa mwaka wa 1955 ikiwaonyesha watu waliohudhuria dua maalum ya kumuombea salama Julius Nyerere katika safari yake ya UNO.

Dua hii ilifanyika nyumbani kwa Ali Msham ambako alifungua tawi la TANU.

Picha hii kwa bahati mbaya iimeelezwa mitandaoni kuwa ni Mtaa wa Congo miaka ya 1920.

Nimewaeleza kwa ufupi Mama Daisy na Mama Maria Nyerere walivyosuhubiana katika miaka hii kama wanawake vijana ambao waume zao walikuwa mstari wa mbele katika TANU kupigania uhuru wa Tanganyika.

(Video hii ni kutoka Channel Ten kipindi Siri ya Sifuri).

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…