Elections 2010 Maisha ya Dr. Slaa ndani ya TBC1

Wakuu zangu sikumwelewa vizuri mzee huyo wa kwanza alipokuwa akisema urithi wa majina ya JK. Nimesikia kurithi majina ya Mchagga, hapo wenzangu mmeelewa vipi?..
 

Nyerere alikuwa na nyumba Magomeni na Msasani. Ni "Mtanzania gani wa kawaida" alikuwa na nyumba za beach house Msasani?

Tena hiyo nyumba ya Msasani tulitapeliwa. Kwanza wakati anang'atuka na kuzunguka nchi nzima kwenda kuaga huku akipokea kila aina ya zawadi aliizuia nyumba ile kwa serikali ambapo serikali nayo ilimrudishia baada ya kuinunua kama zawadi ya kulitumikia Taifa. Hapo bado hatujazungumzia nyumba aliyojengewa na JKT. Kuna anayekumbuka nyumba ile iligharimu fedha kiasi gani?
 

Kwa hiyo tukachague viongozi wenye maradhi na ujinga kwenye familia zao kwa sababu "hata yeye katika familia yake yanamgusa". Bora hata usingevunja huo mwiko ulioudai.
 
Nimeamini mashabiki na wafuasi wengi wa Dr. Slaa na Chadema hapa jamvini hamko objective. Michango yenu dhahiri inaegemea upande wa Dr. Slaa. Kwa taarifa yenu hamumjengi mgombea wenu, hata kwa wale watu walioanza kufurahishwa na utendaji wa Dr. Slaa wameanza kuwa na mashaka juu ya aina ya watu waliomzunguka.

Naamini kama ambavyo Kikwete alivyozungukwa na genge la wahuni na mafisadi, hata Slaa pia kazungukwa na watu wa aina hiyo hiyo...tofauti tu ni kwamba hawajapata bado opportunity ya kufanya ufisadi wao.

Kuna baadhi ya mambo, ingawa hayamfanyi Dr. Slaa hakose sifa za kuwa Rais bora, lakini ni dhahiri amechafuka kimaadli!!

Mkubali msikubali!!
 
Wakuu mie nna mtazamo tofauti kidogo, kama kweli nyumba ya babaake Slaa haifai kuishi then wa kumlaumu si Dr. Slaa bali ni serikali ya CCM ambayo imeshindwa kuwapatia watz maisha bora ambayo ni pamoja na makazi bora ya kuishi.

Yes makazi bora ya kuishi ni jukumu la serikali kuhakikisha kuwa uchumi unakuwa na kuspill over poverty reduction kwa kila mtanzania. Hilo CCM wameshindwa si kwa huyo mzee tu bali kwa watanzania wengi.

Having said that tutumie nafasi hii kuwatoa wezi madarakani ili hawa wazee na watanzania wote kwa ujumla waweze kupata maisha bora zaidi.

CHAGUA DR. SLAA, CHAGUA CHADEMA.
 
Wakuu labda mimi niko nyuma lakini wapi Slaa alimtukana mtu? Naomba ni elimishwe kama nimekosea...:confused2:
 
Kwani katika hayo mahojiano, Baba wa Dr. Slaa amelalamika kuwa mtoto wake hajamjengea nyumba? Amelalamika kuwa nyumba anayokaa si nzuri?
 
Kwani katika hayo mahojiano, Baba wa Dr. Slaa amelalamika kuwa mtoto wake hajamjengea nyumba? Amelalamika kuwa nyumba anayokaa si nzuri?

Nimefurahi sana, Najua walidhani kwamba kwa kumuonyesha babayake Dr. Slaa anakaa nyumba ya tope, watanzania watamchukia, hooo.. ona sasa, hii imezidi mpa credit shujaa wetu!

Mkimaliza tuwekeeni basi hayo ma mansion ya msoga mliyo andalia wafalme wa Tanzania ili tuwapigie makofi kwamba kweli mnajali koo zenu lol!
Ila msisahau kutuandalia maelezo sahihi ya jinsi mlivo pata mabilioni ya kujenga hayo mahekalu, make karibia tunairudisha nchi yetu kutoka mikononi mwa mafisadi, ambapo utawala a sheria na haki utachukua nafasi yake.
 
Slaa ni dume la mbengu.

Hata wewe usipojali Mke wako, SHURTI amchukue na amuonyeshe raha ya kuwa na mwanaume kweli na si kama Vaticano na kundi lake, jamaa wenye vibamia. Ondokeni mkalielie huko pembeni na vibamia vyenu.

Mie hata kama akichukua na wake zenu, bado ntampigia tu kura. MWAKA HUU HATUDANGANYWI.

Sintampigia KURA Dr. Slaa mara pale mtu akija na kusema "huyu jamaa ni kiongozi DHAIFU."

Mzinzi ndiye safi kabisa kwani mawazo yakizidi anaenda kupumzika. Mtu wenu alikuwa anafaa sana maana na yeye kwa Wanawake mamamamaaaaa!!!!! Ila Yeye tatizo ni MZIRAY.

MUMKOME kama mlivyokoma mitindi za ............................
 
Anahojiwa Baba yake. Anaishi kwenye nyumba ya tope licha ya mwanawe kuwa bunge for 25 years,

Anaepnda sana kujisomea.

Anaongea kiswahili cha shida but ina mashaka na slaa kugombea hasa kutukanana

Hata watoto wa Nyerere wakati wanasoma walikuwa wanadandia lifti za watoto wa mawaziri wakati baba yao ni rais. Tena wengine wamesomeshwa na misheni wakati baba yao ni rais. Nyerere nyumba ya maana kajengewa na jeshi wakati ameshang'atuka kwenye urais. Kwa hili CCM wanafikiria kuwa ni kashfa kumbe ndo wamempigia debe Slaa bila wao kujua. Slaa tunakuombea mwaka huu ni mwisho wa kutawaliwa na majingili wa uchumi wetu.
 
hamjui vyombo vya habari hasa chama tawala viko kuharibi sifa za watu? mimi sioni kwa nini walaumu eti baba yake anaishi kwenye nyumba ya udongo, hivi kweli tunazaa watoto watusaidie au wajisaidie wenyewe? kama uwezo wa babake ulikuwa wa kujenga nyumba ya tope basi na aendelee kuishi humo.

SLAA kaza buti wangu, tuko pamoja hata kama hutashinda umeonyesha ungangali na kwamba unakubalika.
 

amen
 

Mshahara wa 12m x 12 = 144m kwa miaka 5 tu inatosha kumjengea baba yake nyumba! Sometimes tusitetee ukwepaji wa majukumu. Mimi sipati 12m ila nimeweza kumjengea mama yangu nyumba nzuri kijijini kwetu yeye kashindwa nini?? Isitoshe ana misamaha ya kodi kibao...
 

Na wewe ulipewa hiyo lifti ya mawaziri waliyokuwa wanapewa watoto wa Nyerere? Kuna lies halafu kuna damn lies.:mad2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…