maisha ya gheto na hostel.....!

stevoh

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2011
Posts
2,921
Reaction score
1,105
jamani wana jamvi naomba kujuzwa maisha yapi na ghali kati ya kuishi gheto na kuishi hostel. Tangu nimeanza kusoma sijawahi soma shule za binafsi i usualy study government schools so utanielewa naishi maisha gani!! Naombeni ufafanuzi hasa kwa chuo cha IFM
 
Kama kuna hostel kaa hostel maisha ya dar bei ya chumba unaijua bado uchangie umeme,maji. Labda utafute wenzio km 2 hv then mpange.we unadhan ud wanavyobebana huwa wanapenda?mtaan km huna pesa sio kuzur mwana.
 
kaa hostel...ukijiloga ukapanga chumba tu utajikuta vishawishi kibao, utataka kumiliki demu na anasa nyingine
 
KWA niliposoma mpaka mwaka wa tatu huu geto iko poa sana kuliko hostel coz unajifunza maisha na kujitegemea
 
Ungekua mkoan ningekushauri ukae gheto,bt kwa dar ckushauri.
 
Dah! Hata mm nna tatzo hlo.Nmepangiwa st.john ya dom na gharam zao za hostel zpo juu knouma!
 
Gheto kwa IFM halikwepeki ila nakushauri kama unagepu la hosteli anzia kwa 1st yr then soma ramani..
 
Kama kuna mtu anafahamu kuhusu chuo cha Institute of Tax Administratio Dar (ITA ) anisaidie bse cjui kama kuna hostel au vp.na cjui kipo sehemu gan ya Dar.
 
Nimechaguliwa saut-bukoba branch sijajua kama kipo mjini au mbali na mjini naomba kufaham kwa anaejua alafu naomba na ushauri nikae hostel au geto?
 
Kwa dom geto linafaa rum cheap nyng isue ni ukarb na chuo tu
 
geto nzuri kama una mipango na mikakati ya kudefend your self against life in dar bt if not rather hostel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…