Kiukweli wimbi kubwa la wanaume wa sasa sijui niseme mabadiliko ya karne au!.
Yani wanaume wamekuwa na tabia ambazo zilikuwa kwa wanawake.
mwanaume ni bora kuwa na rafiki wa kike kuliko wa kiume.
wanaume wamekuwa masnitch sana,husda sana,kukwamishana,wambeya kweli kweli.
mpaka wengine wamekuwa kwenye mitandao maparody