Maisha ya mkenya wa kawaida

ila wanabongo ukweli usemwe..kenya ni taifa lenye mipango..ila kidogo hapakosi matatizo lakini taifa lenyewe hata usiseme..si infrastructure si elimu si uchumi..yataje tuu...nchi yenyewe sasa hivi imepaa..
 
Kwa Sababu madem wao karibia wote ni kama avatar yangu
hujapata kutoka na wanawake wa huko mkuu...yani hata ipo siku diamond karibu ampe mpenzi wake taraka kisa kapewa msuguo wa haja..yaani wametimia..
 
Ameishi Nairobi huyo, kama ungekuwa unamfuatilia tokea zamani ungejua. Njooni na vipicha vyenu vya Mombasa road na Thika highway mjipe moyo.
Hahahaaaaa, yaani hizi mada za hapa jamvini kila mara kulinganisha dar na nairobi, au miji ya tz na kenya huwa inaniacha hoi kwani mara nyingine zinakuwa hazina uhalisia. Mimi kenya nimeishi na naishi ila uhalisia unapotolewa tukubaliane nao walau. Mleta uzi huu mimi binafsi naweza sema amehit on the bull hata kama tutabisha lakini ukweli ni mkubwa. Tukikubaliana kuwa lisemwalo lipo inaweza kusadia mamlaka kufanyia kazi badala yakubisha. Wakenya ndugu zangu not all the time when facts released by someone we become too defensive. It can't help at all sometimes.
 
Its far more worse to start an argument when your condition is worse, these Tanzanians believe they are far better than Kenyans
 
hujapata kutoka na wanawake wa huko mkuu...yani hata ipo siku diamond karibu ampe mpenzi wake taraka kisa kapewa msuguo wa haja..yaani wametimia..
Sio kweli mkuu nimepata wengi tu,ila ni ving'ang'anizi humuachi kirahisirahisi.
 
hujapata kutoka na wanawake wa huko mkuu...yani hata ipo siku diamond karibu ampe mpenzi wake taraka kisa kapewa msuguo wa haja..yaani wametimia..

Kajifunze kuandika, taraka ndio nini.
 
The Republic of Turkana Defence Force (TDF). Police wa Kenya hawawezi kanyaga huko.






You know, unajua kiasi sana about Kenya. Unajikaza tu ndio usionekane mpumbavu.... Hao waturkana wakona silaha na serikali inajua.. The reason they have those is because majority of them depend on pastrolism.. utapata Kuna mtu akona more than 500livestocks.. Na sio waturkana pekee.. Pia waborana, wapokot, kalenjins (some),Kenyan somalis, rendile and samburu.. And mind you they don't use there weapons in fighting other communities.... If any community misuse it's weapons the government will collect all its weapons.
 
Punguza povu mulanKE.
 
Hizo guns ni mgao wa serikali, Ama wanamiliki kiholela?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio mgao WA serikali... Wengi wao nilikuambia ni nomadic pastrolist wanaishi vichakani... If anything bad happens.. They will have a way of defending themselves... They get there weapons from neighbouring countries like Ethiopia, Somalia, South Sudan
Hizo guns ni mgao wa serikali, Ama wanamiliki kiholela?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Grey for “missing” so North America na Australia hawana maji [emoji23]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa nyie mnaokula mefi na Albino wapi afadhali sasa........Siku zote Akili ya Mdangagiza ni aibu tu....Mwenyewe hata hajafika border ya Kenya na Tanzania let alone Nairobi.Keep Dreaming,Go mad man
 
Ila huyu mtoa mada mjinga amesahau kuwa licha ya ufukara wao hawali watoto wao. YaaniYaani hawa watu wana utu na wanaheshimu maisha ya binadamu
 
Serikali imechukua hatua gani kudhibiti matumizi mabaya ya silaha ya moto?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya mwenzangu why do you fall to stupid Tanzanian tricks. Mleta mada ata hakutoka kibandani chake dar es salaam Wala hujawai safiri zaidi ya mzunguko wa Dar. Ni Kiki uatafuta apoeshe stress za Dar!!!!keep away
It's effects of cannibalism.I think these people should consider reducing human meat consumption as it's causing them to hallucinate.Wanaona kama wote wamefika Kenya Mtu anajificha nyuma ya keyboard na kuanza kuandika matope akiwa na motive ya Ku~hurt Kenyans. Watu huko kwao wanachinja watoto na kuwala halafu watoto wanakula kinyesi cha konokono ,nani anawauliza?
Wakenya ambao wamezuru vijiji vya tz wanaweza kubaliana nami kwamba people therelive in abject poverty but tunafungua nyuzi kuwadhalilisha?
watz ni wanafiki sana. They think kind words like tafadhali, naomba n.k hu~define humanity ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…