Maisha ya mkenya wa kawaida

Tanzania is the richest country in East Africa when it comes to mineral, all the mineral you are mining zinaenda wapi ..















Nearly killed by who?
 
Ordinary things,
Ata Ghana ziko...leta vitu za maana

Ghana hawana existing rail network kubwa kama ya Tanzania, na hii reli ndefu kabisa ya umeme Afrika tunayoijenga Tanzania ndiyo itakuwa balaa. Pia hiyo dam tunayoijenga ni mara mbili ya Akasombo dama ya Ghana.
 
Ghana hawana existing rail network kubwa kama ya Tanzania, na hii reli ndefu kabisa ya umeme Afrika tunayoijenga Tanzania ndiyo itakuwa balaa. Pia hiyo dam tunayoijenga ni mara mbili ya Akasombo dama ya Ghana.
Mkimaliza kujenga rudi hapa uropokwe,sahii iyo ni dream
 
Iko sawa Kuwa na reli ya umeme but it comes with a lot of challenges...
Ghana hawana existing rail network kubwa kama ya Tanzania, na hii reli ndefu kabisa ya umeme Afrika tunayoijenga Tanzania ndiyo itakuwa balaa. Pia hiyo dam tunayoijenga ni mara mbili ya Akasombo dama ya Ghana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It's just a railway..every country in Africa has one if am correct... Mind you their is a train in West Sahara which cuts across the Sahara desert, transporting coal, and other goods from West Africa to North Africa... The train is about a kilometer long.... Let's not talk about a train yenye inatumia umeme which electricity is not 100% reliable in Tanzania.... Let's wait until itaanza kazi and itaanza kuingiza pesa ya kulipa deni
Toa mfano hai,ulipo si penginepo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mikopo mnayodaiwa mmeanza kupunguza made it?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Madeni mnayodaiwa mmeanza kupunguza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jane mzalendo nataka kukupiga miti (kwa sauti ya kalighraph jones)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una kiswahili kizuri sio kibaya sema kazana kinyooke barabara kiasi kwamba watu wadhani unatokea mitaa Fulani ya dar ka yule jamaa anaitwa MK254 na huyo jane mzalendo

Ukikiweza hio lugha barabara! Utashobokowa na ma manzi wa nairobi hehehehehehe si unajua wanatupenda mameni wa TZee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…