Maisha ya mkenya wa kawaida

Nyie ndio mna utu gani,mungiki?kila nchi kuna watu washenzi msijifiche ufedhuli wenu kwa haya mabaya yanayotokea Tz,hapo Uk kwenyewe kila saa upday inakupa matukio ya mauaji yanayotokea ndani ya nchi kubwa km ile!
Mje mjifunze utu muache kuchinja wenzenu kama kuku
 
Nimepita maeneo ya Narok naenda Nairobi ; Janerose nipokee kama utakwepo mtaa wa mira Hapo nomepanda Nyaugenya.
 


hao ni wanaichi wa third world country ...na mashabiki wa Gor mahia
 
Mkuu kunywa soda hapo ulipo nije kulipa mimi, hakika umesema ukweli mtupu, Mimi mwenyewe ni Mtz naishi hapa Nairobi , hayo yote uliyoyaandika ni ya kweli kabisa wala hujaongeza chumvi ,

Ila napenda kuuliza lugha ya Taifa ya Kenya ni Kikuyu au Kiswahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…