Mkuu siyo lady jaydee anamzungumzia mwanamuziki wa kikongo.Ngoma ya Jay Dee nayoikubali ni ile amemshirikisha Mr Blue inaitwa wangu.
Anyway, naskia yupo USA ana mimba.
Jay Dee angekuwa anafanya kazi serikalini ungekuta ameshastaafu au ungekuta anang'ang'ania madaraka kama wassira 😎Kama ni yule aliimba “jua maisha ni mulimaeeh,kuna kupanda na kushuka eehh mtoto wa nesa” kama ni huyu mkuu sidhani kama anastahili bado kuitwa mdada.
Sasa hivi nadhani atakuwa kwenye level za ubibi au mwenzetu kiumri mkubwa sana kiasi unamuona mdada bado?kidding.
Eh dah h swaumu itaniua 😂Mkuu siyo lady jaydee anamzungumzia mwanamuziki wa kikongo.
Ahahahah,,, mkuu hapana mm mdogo sana kiumri ila kwa sasa ni kweli atakuwa kikongwe mana kitambo sanaKama ni yule aliimba “jua maisha ni mulimaeeh,kuna kupanda na kushuka eehh mtoto wa nesa” kama ni huyu mkuu sidhani kama anastahili bado kuitwa mdada.
Sasa hivi nadhani atakuwa kwenye level za ubibi au mwenzetu kiumri mkubwa sana kiasi unamuona mdada bado?kidding.