Habar bandugu? nimependa kujadiliana nanyi wanafunz kuhusu hii, inawabidi kusoma kwa bidii sn ili kufikia malengo, yaani 2lio kwenye ajira tu maisha yanabana! asa wasio na ajira je? tusomeni sn wandugu
Habar bandugu? nimependa kujadiliana nanyi wanafunz kuhusu hii, inawabidi kusoma kwa bidii sn ili kufikia malengo, yaani 2lio kwenye ajira tu maisha yanabana! asa wasio na ajira je? tusomeni sn wandugu
kusoma sio chochote we shoodthnk of plan B,nna degree nalipwa laki4 unadhani ntaoboa kweli,geto elfu hamsini,breakfast lunch dinner elfu 6 kwa cku kwa mwezi 180,nauli 800,vocha jero,aiseeee serikali kwanza ipunguze makodi yao na mfumuko wa bei
kusoma sio chochote we shoodthnk of plan B,nna degree nalipwa laki4 unadhani ntatoboa kweli,geto elfu hamsini,breakfast lunch dinner elfu 6 kwa cku kwa mwezi 180,nauli 800,vocha jero,aiseeee serikali kwanza ipunguze makodi yao na mfumuko wa bei