Maisha ya mtanzania

Maisha ya mtanzania

taffu69

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2007
Posts
2,094
Reaction score
540
Najaribu kufikiria jinsi bei ya bidhaa zinavyopanda kwa kasi ikilinganishwa na kipato halisi cha Mtanzania. Wakati wa siku za mwisho wa juma nilizunguka kwenye maduka ya mtaani kupata mahitaji ya nyumbani lakini nilishtushwa mno kwa bei nilizozikuta; mfano:

1. sukari shilingi 2,000/kilo
2. mchele shilingi 1,600/kilo
3. maharage shilingi 1,900/kilo
4. nyama shilingi 5,000/kilo
5. mafuta ya kupikia sh. 4,000/lita
6. gesi ya kupikia sh. 47,000/mtungi
7. maji sh. 200/dumu

Nikiangalia hali hii na kauli za JK wakati wa kampeni za "ARI ZAIDI", "NGUVU ZAIDI" na "KASI ZAIDI" sipati picha ya mustakabali wetu Watanzania.

Tutaweza kweli kuyamudu maisha ikizingatiwa kwamba mahitaji mengine ya msingi kama matibabu, elimu kwa watoto, umeme na mengineyo bado yanatukabili? Waungwana naomba ushauri katika hili.
 
Haya tumeyataka wenyewe, tulikuwa na nafasi ya kurekebisha hii tukaamua kuendelea na mfumo huu huu, so kurekebisha ni ngumu tusubiri hadi twenty fifteen. Improvement is impossible without a change!
 
Mafuta ya kula eti zakaria anatoa malaysia na mengine huja kwa njia za panya toka zanzibar,wakati malaysia ndio walichukua mbegu ya mawese toka kigoma leo wao ndio tunawategemea kwa mafuta ya kula!huu ni upumbavu,ujinga wetu!tuna mbegu za pamba,alizeti,karanga,makweme,nazi,mawese nategemea bei ingekua chini ya mafuta hapo hapo tuka export
 
maji ya uhai lite Tsh 600/-
petroli lita 1900/-
umeme wa luku unit ----
kinachonishangaza,mwaka wa fedha wa Tz ni June/July ila vitu vinapanda from January ,Whyyy???

serikali inazidi kusinzia ktk masuala ya uchumi na kipato cha watanzania.

mbinu kubwa kutoka ktk hili nashauri wataaalam wa serikalini waache siasa.
tupunguze matumizi yasiyo ya lazima.
tutumie Gas yetu kama source kubwa ya kuendesha mitambo yetu na vyombo vya usafiri kama nchi za malysia,thailand etc.
Najaribu kufikiria jinsi bei ya bidhaa zinavyopanda kwa kasi ikilinganishwa na kipato halisi cha Mtanzania. Wakati wa siku za mwisho wa juma nilizunguka kwenye maduka ya mtaani kupata mahitaji ya nyumbani lakini nilishtushwa mno kwa bei nilizozikuta; mfano:

1. sukari shilingi 2,000/kilo
2. mchele shilingi 1,600/kilo
3. maharage shilingi 1,900/kilo
4. nyama shilingi 5,000/kilo
5. mafuta ya kupikia sh. 4,000/lita
6. gesi ya kupikia sh. 47,000/mtungi
7. maji sh. 200/dumu

Nikiangalia hali hii na kauli za JK wakati wa kampeni za "ARI ZAIDI", "NGUVU ZAIDI" na "KASI ZAIDI" sipati picha ya mustakabali wetu Watanzania.

Tutaweza kweli kuyamudu maisha ikizingatiwa kwamba mahitaji mengine ya msingi kama matibabu, elimu kwa watoto, umeme na mengineyo bado yanatukabili? Waungwana naomba ushauri katika hili.
 
Mafuta ya kula eti zakaria anatoa malaysia na mengine huja kwa njia za panya toka zanzibar,wakati malaysia ndio walichukua mbegu ya mawese toka kigoma leo wao ndio tunawategemea kwa mafuta ya kula!huu ni usenge,upumbavu,ujinga wetu!tuna mbegu za pamba,alizeti,karanga,makweme,nazi,mawese nategemea bei ingekua chini ya mafuta hapo hapo tuka export

Kibaya zaidi mafuta hayo wanaingiza nchini bila kulipia ushuru wakidai wanaingiza mafuta ghafi wakati mafuta wanayoagiza ni yale yaliyosafishwa na wanachofanya ni kujaza kwenye galoni na ndoo pekee,
 
nikiskia maandamano ya kumng'oa mkwere na chama chake nitashiriki kikamilifu yaan kwa 100% kwan wao kwa uzembe na kutojali ndo wamechangia haya, na ukiuliza atasema SIJUI
 
nikiskia maandamano ya kumng'oa mkwere na chama chake nitashiriki kikamilifu yaan kwa 100% kwan wao kwa uzembe na kutojali ndo wamechangia haya, na ukiuliza atasema SIJUI

Ugumu niuonao mimi si kuiondoa serikali iliyopo madarakani la!..bali kumpata mtu sahihi anayeaminika ili ajitolee kikamilifu kuwatumikia wananchi ambaye yupo tayari kufa kwa ajili ya waTZ, ndipo waTZ tutakuwa tayari kupoteza maisha kwa ajili yake.
Ninachokiona sasa kwa hawa wanojiita watetezi wa wanyonge ni kutafuta chance ili kujinufaisha...
Utakumbuka jk tulimwamini kama mtu ambaye angewaletea unafuu waTZ tukiamini anawajua vilivyo walalao hoi lkn ndiye kiongozi anayeleta ugumu wa maisha kwa kasi ya ajabu.
Muda utafika..'baada ya dhiki huja faraja'
 
Haya tumeyataka wenyewe, tulikuwa na nafasi ya kurekebisha hii tukaamua kuendelea na mfumo huu huu, so kurekebisha ni ngumu tusubiri hadi twenty fifteen. Improvement is impossible without a change!

Kauli hii haiwatendei haki watanzania walioamua kumchagua kiongozi wa ukweli lakini kwa ghiliba za walafi wakaamua kuparaganyisha mambo kwa makusudi. watz sasa ni kama tupo msibani tu kila mahali kilio. Ingawa waswahili wanasema 'msiba na nyemi', msiba wetu hauna nyemi katu!!


Amani yetu inatumiwa vibaya.
 
Back
Top Bottom