K kajuka JF-Expert Member Joined May 9, 2013 Posts 601 Reaction score 229 Apr 7, 2015 #1 Napenda wana ndugu mnisaidie kujua maisha ya Ndugu H. Mwakwembe ya kielimu, lakini pia nifahamu vitabu alivyoandika kwa majina. Kama umebahatika kuvipitia naomba mtazamo wake kwa ujumla vililenga nini. Nisaidien wana jamii halisi.
Napenda wana ndugu mnisaidie kujua maisha ya Ndugu H. Mwakwembe ya kielimu, lakini pia nifahamu vitabu alivyoandika kwa majina. Kama umebahatika kuvipitia naomba mtazamo wake kwa ujumla vililenga nini. Nisaidien wana jamii halisi.