Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Angalia chet chako cha kuzaliwaJimama linaanzia miaka mingapi,,,,naweza kuwa tayari mi jimama sijijui
Ila mengine kweli au sioAhhahaah kweli kabisa japo mim mengine hapana mnanisingizia
Walimu oyèeeeeeeeAcha uongo usipende kuandika bila utafiti wa kutosha. Sisi walimu tunasema na hatuna shida mbona.
Si ndio hapoMbona Mimi jimama.
Unataka kumteka?Hemu tumapo kapicha bhasi
Karibu sana madamu. Ujilie urojo nikutembeze maeneo yetu ya darajani hadi forodhani.Hahahaaa. Mie Kaka ntakuja kutembelea siku moja hapo Skuli.
hahaas sasa viuno vikiongezeka sindio vitaleta ushawishi wauwepo wa ndoa ..kwa hiyo wataka aolewe tu then ndani aende kuwa kama maiti yaani hatikisiki hata kwa bahati mbayaOmbea wafunge ndoa sio aongeze viuno bila ndoa.
Sawa ni jambo jemaearly 90's
Hapana mie sipo huko.hahaa kwa hiyo mnafuata slogan za bakayoko...!!?
Ahsante sana Kaka ake.Karibu sana madamu. Ujilie urojo nikutembeze maeneo yetu ya darajani hadi forodhani.
Uta enjoy sana.
Vitengo gani?Wazee wa vitengo tukutane hapa
So far mahondaw ameshaonyesha uwezo cha msingi huyo mwanaume afanye maamuz kabla hajafanyiwa mapinduzi.hahaas sasa viuno vikiongezeka sindio vitaleta ushawishi wauwepo wa ndoa ..kwa hiyo wataka aolewe tu then ndani aende kuwa kama maiti yaani hatikisiki hata kwa bahati mbaya
KaribuAhsante sana Kaka ake.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Samahani naomba nitajie mkulima mmoja tu kwenye list ya billionaire duniani ...[emoji15]Mi mkulima wa mtama huku Tarime nawezaje kuteka MTU?
hahaaa...wewe huo uwezo wa mahondaw uliuona wapi ?? mkuu (fafanua vyema afadhali)So far mahondaw ameshaonyesha uwezo cha msingi huyo mwanaume afanye maamuz kabla hajafanyiwa mapinduzi.
Unajua neno mkulima linabeba maeneo makuu mawili:-Samahani naomba nitajie mkulima mmoja tu kwenye list ya billionaire duniani ...[emoji15]
Nina mpango wa kulima matikiti maji mwakani