#COVID19 Maisha ya mwanachama sio mali ya chama; chanjo ya COVID-19 ni hiari

#COVID19 Maisha ya mwanachama sio mali ya chama; chanjo ya COVID-19 ni hiari

Pulchra Animo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
3,718
Reaction score
3,465
Uhiari wa chanjo ya COVID-19 uendelee kuheshimiwa. Maisha ya mwanachama wa chama cha siasa sio mali ya chama. Kwa CCM (au chama kingine chochote) kuweka msimamo wake kuhusu hii chanjo kusichukuliwe kumaanisha kwamba mwanachama mmoja mmoja wa CCM (au chama kingine) haruhusiwi kuwa na msimamo unaotofautiana na wa chama chake, hata kama hakisemei hicho chama.

Mimi sijamsika anti-vaccine crusader yeyote akikisemea chama chake. Juhudi zozote za kuwanyamazisha anti-vaccine crusaders ni juhudi za kukiuka dhana ya uhiari wa hii chanjo. Hata kama wanaipinga hii chanjo hadharani waachwe wafanye hivyo, kwasababu hata wanaoiunga mkono nao wanafanya hivyo hadharani.

Lectures zote zinazotolewa na crusaders wa kambi zote mbili zinaangukia kwenye “akili za kuambiwa”, ambazo Watanzania watachanganya na za kwao na kuamua, kila mtu kivyake vyake, whether achanje au asichanje. Kila crusader yuko sahihi kwa mujibu wa uelewa wake na imani yake. Hata kwenye eneo la dini tuko hivyo. Kila mwenye dini yake anamini kwamba dini yake ndiyo dini sahihi ya kumwabudu Mungu.

Hiari iachwe itamalaki.
 
Uhiari wa chanjo ya COVID-19 uendelee kuheshimiwa. Maisha ya mwanachama wa chama cha siasa sio mali ya chama. Kwa CCM (au chama kingine chochote) kuweka msimamo wake kuhusu hii chanjo kusichukuliwe kumaanisha kwamba mwanachama mmoja mmoja wa CCM (au chama kingine) haruhusiwi kuwa na msimamo unaotofautiana na wa chama chake, hata kama hakisemei hicho chama.

Mimi sijamsika anti-vaccine crusader yeyote akikisemea chama chake. Juhudi zozote za kuwanyamazisha anti-vaccine crusaders ni juhudi za kukiuka dhana ya uhiari wa hii chanjo. Hata kama wanaipinga hii chanjo hadharani waachwe wafanye hivyo, kwasababu hata wanaoiunga mkono nao wanafanya hivyo hadharani.

Lectures zote zinazotolewa na crusaders wa kambi zote mbili zinaangukia kwenye “akili za kuambiwa”, ambazo Watanzania watachanganya na za kwao na kuamua, kila mtu kivyake vyake, whether achanje au asichanje. Kila crusader yuko sahihi kwa mujibu wa uelewa wake na imani yake. Hata kwenye eneo la dini tuko hivyo. Kila mwenye dini yake anamini kwamba dini yake ndiyo dini sahihi ya kumwabudu Mungu.

Hiari iachwe itamalaki.
Umesahau kitu kimoja tu
Tukukumbishe naona kajazba kanakufanya mambo mengine usione mchana kweupe.
Na sio wewe tu wengi wanamtizamo kama wako.

Ni hivi kama chama kinakulipa mshahara na unataka kupishana mtazamo na chama chako jiuzulu nyadhifa zote.
Hii ndio sheria.

Wanaongea hadharani sababu ndio msimamo wa chama chao kama wewe umo kwenye chama hicho hutaki huo mwendo bwaga manyanga.
Sio vonginevyo.
 
Umesahau kitu kimoja tu
Tukukumbishe naona kajazba kanakufanya mambo mengine usione mchana kweupe.
Na sio wewe tu wengi wanamtizamo kama wako.

Ni hivi kama chama kinakulipa mshahara na unataka kupishana mtazamo na chama chako jiuzulu nyadhifa zote.
Hii ndio sheria.

Wanaongea hadharani sababu ndio msimamo wa chama chao kama wewe umo kwenye chama hicho hutaki huo mwendo bwaga manyanga.
Sio vonginevyo.

Nijiuzulu wakati tayari sina chama? Mimi ninasimamia liberties za watu ndani ya vyama vyao, kwa maswala ambayo sio ya kiitikadi. Itikadi ni vitu vya kudumu sio upepo unaotegemea leo nani ameshika hatamu ya chama!

BTW, sio kila mwanachama analishwa na chama chake. On the contrary, kila chama kinalishwa na wanachama wake!
 
Nijiuzulu wakati tayari sina chama? Mimi ninasimamia liberties za watu ndani ya vyama vyao, kwa maswala ambayo sio ya kiitikadi. Itikadi ni vitu vya kudumu sio upepo unaotegemea leo nani ameshika hatamu ya chama!

BTW, sio kila mwanachama analishwa na chama chake. On the contrary, kila chama kinalishwa na wanachama wake!
Elewa tu hivi kama unlipwa mshahara sababu ya kuwa kwenye chama basi huwezi kuwa kinyume na maamuzi ya chama kama uko huru sawa.
Kama unalipwa m11 kila mwezi halafu blablah kibao kinyume na viongozi unatakiwa ujiuzulu kwanza. Hio ndio sheria.
Ukizungusha kiswahili zaidi ya vipimo hivyo utakuwa hujui hata unaongea nini sasa mbona iko wazi.
 
Elewa tu hivi kama unlipwa mshahara sababu ya kuwa kwenye chama basi huwezi kuwa kinyume na maamuzi ya chama kama uko huru sawa.
Kama unalipwa m11 kila mwezi halafu blablah kibao kinyume na viongozi unatakiwa ujiuzulu kwanza. Hio ndio sheria.
Ukizungusha kiswahili zaidi ya vipimo hivyo utakuwa hujui hata unaongea nini sasa mbona iko wazi.

Ni wapi mimi nimejikita katika hao unaodai wanalipwa na chama?

Isitoshe chama kina itikadi zake, hakiongozwi na misimamo binafsi ya viongozi wake!
 
Ni wapi mimi nimejikita katika hao unaodai wanalipwa na chama?

Isitoshe chama kina itikadi zake, hakiongozwi na misimamo binafsi ya viongozi wake!
Hakuna unachojua unaongea tu sasa au unajifurahisha. Kama huchanji kamwambie mkeo kama umeoa au na baba na mama si haruna shida kujua uamuzi wako wala hauongezi wala kutupunguzoa kitu bye bye.
 
Hakuna unachojua unaongea tu sasa au unajifurahisha. Kama huchanji kamwambie mkeo kama umeoa au na baba na mama si haruna shida kujua uamuzi wako wala hauongezi wala kutupunguzoa kitu bye bye.

Unataka wengine waishie kuziambia familia zao kama hawachanji. Wewe na viongozi wako wa chama kwanini msiishie kuziambia familia zenu kwamba mnachanja?

Your mindset has not evolved with time. Hizi sio zama za fikra za kiimla za “...zidumu fikra za Mwenyekiti...”
 
Back
Top Bottom