Maisha ya ndoa

Joined
Mar 21, 2015
Posts
17
Reaction score
3
Ni kwa nini ndoa nyingi za siku hizi haswa vijana hazidumu? je nini tatizo na kipi kifanyike ili kujenga uimara na mahusiano mazuri kuzuia hili swala.
 
Tatizo vijana tunaoa na kuolewa kabla hatujamaliza ujana hivyo unakuta mapatner hawa hukutana na mambo ambayo hawakutarajia nawaasa kuwa makini kwa hilo
 
Mfano unakuta unaoa kwa sabb la umri kwenda, ama imetokea sabb mimba ama shinikizo la wazazi jamaa na ndugu hapo lazima kuchokana mapema tu maana maamuzi yatayokuja ni kwa sabb ya hivyo vitu. Siku uje ukutane na ambae ndio chaguo lako lazima mifarakano ianze.
 
Karibu sana JF...

Tafuta jukwaa la mahusiano, mapenzi uweke mada yako huko...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…