muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Dimpoz yupo katika ile list ya Konki Master?,ile list ya wasanii bwabwaz?.Kwani mwenyewe alishawahi kuwaambia kwa nini alipatwa na shida ile?
Sio kila kazi au shughuli ni nzuri kwa Afya
Tuwe waangalifu na maisha yetu
Tumsifu Yesu kristoo
Nimecheka kwa sauti.....koo la mbuzi jamaniBongo unaijua angefungwa hata koo la mbuzi
😁😁Bongo unaijua angefungwa hata koo la mbuzi
Ni mfadhili wao na aliempeleka ommy kwa joho ni Ali kiba na ommy anapenda sana kwenda mombasa na range alipewa na joho
Kweli mkuu bongo hii hata la mbwa wangewekaBongo unaijua angefungwa hata koo la mbuzi
Bongo walishamsingizia ugonjwa yule Hawa wa Nitarejea wakamwambia Ini limekufa/limefeli.!Bongo unaijua angefungwa hata koo la mbuzi
Joho! NI bongo babake mzee Jumbe ni mtu wa TangaOh kumbe matibabu alilipiwa na gov joho
OK.... Sema Joho anawakubali sana wabongo
Maana Kuna wakati fulani Joho alikaa bongo
Na Ana ndg zake ilala, kwa hyo Joho anajitaga mtoto wa ilala
Ova
Hamna wapo sawa sema OMY bado hajawa vizuri bado yale Mambo ya Instagram ni maigizo tu Ila in reality jamaa kapitia kipindi kigumu Sana itamchukua muda kukaa sawaMshikaji ukaribu wake na Kiba umeporomoka sana siku hizi...something is wrong
Bro suggery ya kubadirisha oesophogus si mchezo. Operation ya pili ingeweza kusababisha some complications ndiomana hata hao wataalamu wa Ujerumani wamerekebisha hali bila kufanya 2nd operation. Tusiongelee kinadharia tuYaani Bongo tunafeli wapi mpaka mtu anaenda ughaibuni wakati jambo dogo tu
[emoji106][emoji106][emoji106]Joho! NI bongo babake mzee Jumbe ni mtu wa Tanga
Waulize CCM wanasema Hospitali kila wilaya na hazina vifaa na wataalamu duni.
Daaa we jamaa.ila kwelKwa mujb wa Ommy , alienda hosp za bongo akaambiwa anacancer ya koo.
Bongo kitu kizur n madem tu
HahaaaKwa mujb wa Ommy , alienda hosp za bongo akaambiwa anacancer ya koo.
Bongo kitu kizur n madem tu
HahaaBongo unaijua angefungwa hata koo la mbuzi
Mbona watumishi wa Magufuli Kila siku wanazisifia hizo hizo hospitali za ndanihospital za bongo zinafeli wapi hadi apelekwe nje ya nchi
Hii ni issue serious ujue.Bongo walishamsingizia ugonjwa yule Hawa wa Nitarejea wakamwambia Ini limekufa/limefeli.!
Baada ya kwenda India kaambiwa tatizo lingine kabisa
Ingekuwa ndio masikini mwenzangu, hayo mahela ya kwenda SA na Germany tungepata wapi?. Hapo ingekuwa ni kusubiri neema za Allah tu.Habari zenu wakuu,
Tukiwa kwenye vugu vugu la uchaguzi mkuu na campaign za vyama mbali mbali na mapambano bado yanaendelea ya kutafuta kijio Cha kila siku.
Nimebahatika kusikiliza interview ya salama na Seven Mosha (aliyekuwa manager wa Ali Kiba) moja Kati ya Mambo aliyozungumza ni hali aliyo kuwa naye OMY DIMPOZ wakati wa surgery na baada ya surgery.
Seven anasema anashukuru Mungu mpaka Ssasa OMY DIMPOZ kuwa hai maana kipindi chote wakati anamuuguza alikuwa na hali mbaya kwa takriban week moja baada ya surgery ilikuwa hawezi lolote na kama anataka kitu anampa karatasi na kalamu aandike hawezi kula na kwa kipindi chote ilikuwa anatumia juice au maji tena kwa kiwango kidogo Sana.
Seven anasema OMY alikuwa na tatizo katika mfumo wa chakula na upumuaji ( oesophogus), ambapo upumuaji wake ulikuwa wa shida sana wakampeleka Kenya kwa check-up lakini ikashindikana ikabidi wampeleke South Africa kwa More check-up ambapo baada ya vipimo na surgery wali replace oesophogus na kupandikiza nyingine na waka block Ile ya Kwanza baada ya heavy surgery wakaruhusiwa kuondoka baada ya muda Ila wakapewa tarehe ya kurudi mara kwa mara kwa ajili ya check-up na waliporudi waliambiwa Ile old oesophogus imeziba kutokana na uchafu na inatakiwa surgery nyingine ambapo doctor husika alikataa kufanya for second time
Baada ya Doctor kukataa kufanya second surgery ikabidi Seven awasiliane na GAVANA JOHO wa Kenya wakampleka Germany ila madaktari waliweza ku-deal na tatizo bila second surgery Ila mpaka sasa hivi mfumo wa kula na aina ya vyakula umebadilika sana kwa msanii huyo na anaishi kwa wasi wasi sana na kula kwa shida kwani amekuwa muoga toka kupata majanga hayo.
N:B- Maisha ni mafupi sana na lolote linaweza kumpata mtu yeyote tuishi kwa amani na upendo siku zote