Maisha ya sasa ni kujitangaza kwa kile unachokifanya

Maisha ya sasa ni kujitangaza kwa kile unachokifanya

Kaunara

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2013
Posts
249
Reaction score
452
Habari wadau!

Kwa wale wanaoishi wakifanya shughuli zao binafsi kuna haja kubwa ya kujitangaza kwa kile unachokifanya. Vijana wengi wanaogopa kujitangaza mitandaoni na kuishia kuangalia wenzio wakienda mbele.

Ujumbe huu uwe mahususi kwa vijana hasa wa mikoani mmelala sana. Hata mikoani unaweza kujitangaza kwa kile unachokifanya ukajulikana kwa shughuli yako na kupata wateja halali. Ni nadra sana kuona mitandaoni kijana wa mikoani akajitangaza kama wanavyofanya vijana wa Dar.

Kuna watu wanafanya kazi nzuri sana mtaani ila wapo kimya hawajitangazaji na kuishia kupata wateja wale wale kila siku.

Tumia mtandao kuongeza kipato na sio kuhangaika na habari zisizo na maana yeyote ile katika maisha yako.

Nawakilisha.
 
Habari wadau!

Kwa wale wanaoishi wakifanya shughuli zao binafsi kuna haja kubwa ya kujitangaza kwa kile unachokifanya. Vijana wengi wanaogopa kujitangaza mitandaoni na kuishia kuangalia wenzio wakienda mbele.

Ujumbe huu uwe mahususi kwa vijana hasa wa mikoani mmelala sana. Hata mikoani unaweza kujitangaza kwa kile unachokifanya ukajulikana kwa shughuli yako na kupata wateja halali. Ni nadra sana kuona mitandaoni kijana wa mikoani akajitangaza kama wanavyofanya vijana wa Dar.

Kuna watu wanafanya kazi nzuri sana mtaani ila wapo kimya hawajitangazaji na kuishia kupata wateja wale wale kila siku.

Tumia mtandao kuongeza kipato na sio kuhangaika na habari zisizo na maana yeyote ile katika maisha yako.

Nawakilisha.
Hakika mkuu
 
Habari wadau!

Kwa wale wanaoishi wakifanya shughuli zao binafsi kuna haja kubwa ya kujitangaza kwa kile unachokifanya. Vijana wengi wanaogopa kujitangaza mitandaoni na kuishia kuangalia wenzio wakienda mbele.

Ujumbe huu uwe mahususi kwa vijana hasa wa mikoani mmelala sana. Hata mikoani unaweza kujitangaza kwa kile unachokifanya ukajulikana kwa shughuli yako na kupata wateja halali. Ni nadra sana kuona mitandaoni kijana wa mikoani akajitangaza kama wanavyofanya vijana wa Dar.

Kuna watu wanafanya kazi nzuri sana mtaani ila wapo kimya hawajitangazaji na kuishia kupata wateja wale wale kila siku.

Tumia mtandao kuongeza kipato na sio kuhangaika na habari zisizo na maana yeyote ile katika maisha yako.

Nawakilisha.
Hujawapa bado mbinu za kujitangaza na jinsi ya kuboost followers wao.
 
Habari wadau!

Kwa wale wanaoishi wakifanya shughuli zao binafsi kuna haja kubwa ya kujitangaza kwa kile unachokifanya. Vijana wengi wanaogopa kujitangaza mitandaoni na kuishia kuangalia wenzio wakienda mbele.

Ujumbe huu uwe mahususi kwa vijana hasa wa mikoani mmelala sana. Hata mikoani unaweza kujitangaza kwa kile unachokifanya ukajulikana kwa shughuli yako na kupata wateja halali. Ni nadra sana kuona mitandaoni kijana wa mikoani akajitangaza kama wanavyofanya vijana wa Dar.

Kuna watu wanafanya kazi nzuri sana mtaani ila wapo kimya hawajitangazaji na kuishia kupata wateja wale wale kila siku.

Tumia mtandao kuongeza kipato na sio kuhangaika na habari zisizo na maana yeyote ile katika maisha yako.

Nawakilisha.
Sio vijana yi hata sisi wazee. Kama unadigrii ya nyuki itangaze watu wapate huduma.
Ukijitangaza unaweza pata mteja hata China.
 
Hujawapa bado mbinu za kujitangaza na jinsi ya kuboost followers wao.
MFano dereva boda boda ambae anakesha usiku kwenye stand za mabasi kama unavyojua mabasi yanapita stand nyingine usiku sana, kushusha na kupakia watu. Sasa boda anaweza kujitangaza kwamba mtu akifika stand flan usiku labda, asiwe na wasiwasi atamfikisha sehem husika salama akaweka namba yake na amini anaweza akawa anapiga kazi sana. Abiria anaweza mbuku anavyoanza safari tu.
 
Koka wanatumia nusu ya mapato yao kujitangaza wazo zuri ila sijaoenda kwa nn ss wamikoani
 
Koka wanatumia nusu ya mapato yao kujitangaza wazo zuri ila sijaoenda kwa nn ss wamikoani
Vijana wengi wa mikoani hawaonekani mitandaoni wakijatangaza kwa kile wanachokifanya.
 
Kabisa. Vijana watumie mitandao kutangaza kazi zao. Itawasaidia.
 
penda unachofanya, FANYA_UNACHOPENDA. tatizo wengi wetu tunafanya tusichoPENDA ili mradi mkono uende kinywani. ndio maana hatujitangazi.
 
Back
Top Bottom