Tungi noma,siku hizi tunajifariji kwamba tunaufagilia moyo wakati tunaumia!Ukienda bar kunywa pombe unaweza kumwona mschichana anayekudumia mbaya mbaya lakini kadiri unavyokunywa pombe anaendelea kuwa mzuri mzuri huwezi amini kuwa ndiye uliyemkuta mwanzo, unaweza kukuta unamuuliza ulikuwa muda wote.
Eti wewe ni mrembo hivi? Lakini jambo la ajabu kuliko yote pindi ukiamka asubuhi unaweza kuzimia kujikuta umelala naye.
Jiendekeze tuUkienda bar kunywa pombe unaweza kumwona mschichana anayekudumia mbaya mbaya lakini kadiri unavyokunywa pombe anaendelea kuwa mzuri mzuri huwezi amini kuwa ndiye uliyemkuta mwanzo, unaweza kukuta unamuuliza ulikuwa muda wote.
Eti wewe ni mrembo hivi? Lakini jambo la ajabu kuliko yote pindi ukiamka asubuhi unaweza kuzimia kujikuta umelala naye.