proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Kupanga chumba au kukodi chumba sehemu ni kawaida Sana kwa wapambanaji wa hapa na pale. Katika vyumba hivi Kuna vihoja au Mambo Fulani hivi yakukera au kufurahisha, embu nianze na haya yafuatayo;
Mpangaji wa chumba cha JIRANI kuachia mziki mzito wakati huna hamu na muziki, au kuweka nyimbo ambazo huzipendi, na ukimwambia anakujibu Jenga nyumba Yako [emoji23][emoji23][emoji23] inasikitisha Sana.
Usafi, hasa wa chooni Kuna watu ni wachafu kweli wakati wa kutoa haja zao wengine wanatoa haja kubwa hata HAWANAWI MIKONO halafu anakupa salamu kwa mikono kama vile hawajui Kuna bacteria wasababishao magonjwa.
Unakuta ni wanawake wamekaa kwenye korido wamejiachia mbususu ziko nje nje hata hawajali hadi unataman upige mashine bila kujali ni shemeji Yako ama mke wa mtu.
Unapiga mashine usiku demu anakiherehere unasikia aaaghh shiiiiii uuuuuu uuuuuu uuuuuu kwa sauti hadi kijana ambaye hajaleta demu anatamani apige chabo au apige nyeto
Unapika chakula cha kawaida mwenzako kwa makusudi anakaanga kujimwambafai anazo.
Geto unalala chini mwenzako yeye ana vitu vya hatari.
Ni vihoja gani vingine umekutana navyo au unakutana navyo kwenye nyumba za kupanga?
Mpangaji wa chumba cha JIRANI kuachia mziki mzito wakati huna hamu na muziki, au kuweka nyimbo ambazo huzipendi, na ukimwambia anakujibu Jenga nyumba Yako [emoji23][emoji23][emoji23] inasikitisha Sana.
Usafi, hasa wa chooni Kuna watu ni wachafu kweli wakati wa kutoa haja zao wengine wanatoa haja kubwa hata HAWANAWI MIKONO halafu anakupa salamu kwa mikono kama vile hawajui Kuna bacteria wasababishao magonjwa.
Unakuta ni wanawake wamekaa kwenye korido wamejiachia mbususu ziko nje nje hata hawajali hadi unataman upige mashine bila kujali ni shemeji Yako ama mke wa mtu.
Unapiga mashine usiku demu anakiherehere unasikia aaaghh shiiiiii uuuuuu uuuuuu uuuuuu kwa sauti hadi kijana ambaye hajaleta demu anatamani apige chabo au apige nyeto
Unapika chakula cha kawaida mwenzako kwa makusudi anakaanga kujimwambafai anazo.
Geto unalala chini mwenzako yeye ana vitu vya hatari.
Ni vihoja gani vingine umekutana navyo au unakutana navyo kwenye nyumba za kupanga?