Maisha ya usingle mother je, how do I cope?

nyumba kubwa nakubaliana na wewe,mama ana power kubwa ya kumfanya mwanae awe na maendeleo au asiwe na maendeleo,hasa watoto wa kike. Ni watu wenye influence kubwa sana,lakini wanapotumia nafasi hiyo kupandikiza ujinga ndipo watoto wa ajabu wanapopatikana. Ndo maana wavunjaji wa ndoa wanaongezeka, single parents wamekuwa wengi na watoto wasio na baba anayefahamika wanaongezeka. Ni afadhali enzi za mitala kuliko siku hizi ambapo unamkuta mdada anawaza kuzaa na mume wa mtu kwa madai hana haja ya kuishi na mwanaume.
 
wamama wengi wanavumilia ukiritimba wa waume zao,ili watoto wao wakue....wewe kwa ukiburi wako,ukamuacha mume ulee peke yako...nani alikuambia usingle mother ni kazi rahisi?...mnh na huu mfumuko wa bei mbona you are in for it!......bora hata kwa wenzetu kuna schemes kibao za kuwasaidia single mothers,hivi kwani bongo hamna sheria ya kumbana mzazi atoe child suport pamoja na kutenga muda wazazi waliotengana waweze kumuona mtoto wao each....:thinking:
 

Kwa kweli hiyo hadithi yako inaniwia vigumu hata kuchangia maana pande zote mbili kuna matatizo, kwako na kwake. Anyway ntarudi baadae ngoja nikalale kwanza.
 
Wewe umeishi kwa uzinzi kwa miaka saba. Leo unajidai kuuliza utaishi vipi na mtoto uliyemzaa kwa njia ya haramu? mtoto yeyote anezaliwa nje ya ndoa ni mwana wa haramu. Mlee ki haramu haramu na umpachike baba asiye wake.
 
Wewe umeishi kwa uzinzi kwa miaka saba. Leo unajidai kuuliza utaishi vipi na mtoto uliyemzaa kwa njia ya haramu? mtoto yeyote anezaliwa nje ya ndoa ni mwana wa haramu. Mlee ki haramu haramu na umpachike baba asiye wake.

si mtu akikaa na mwanaume/mwanamke for three years kisheria wanatambulika kama wanandoa? utasemaje mzinzi?afu mwanao akiitwa mwanaharamu utafurahi?
 


Pole sana dada. Kwa maoni yangu kwa sasa usijiingize kwenye mahusiani mapya, labda jamaa anaweza kuona umihimu wako na kuamua kujirekebisha na hivyo kukuomba nafasi nyingine ya kuwa pamoja, na kama hakuna uwezekano wa kurudiana basi ni haki yako pale ambapo utaona uko tayari kuanza mahusiano mapya.

Hapo kwenye rangi umesema kweli kabisa Mkuu. Miaka ya nyuma hili tatizo la watoto wanaolelewa na single parents nchini kwetu lilikuwa ni dogo sana lakini miaka ya karibuni limekuwa likiongezeka kwa kasi ya kutisha. Watoto wanahitaji mapenzi toka kwa wazazi wote wawili ili kupata malezi bora vinginevyo inakuwa ngumu sana kwa watoto hao kupata matunzo bora pamoja na kuwa tuna extended family.
 
Dada pole sana na kadhia hiyo, ila mimi naona UACHANE na huyu jamaa kwani kama ana mambo ya umalaya huko nje na wanawake wengine, hakufai kwani atakuletea maradhi ukafa siku si zako ukamuacha mwanao apate tabu tabu zisizo na msingi.

Jamaa anaonekana hizi starehe za wanawake ndio kwanza amezianza na hatamaliza leo wala kesho, na hapo anakutumia tu kama kipozeo cha haja zake...jiepushe naye kabisa, na mimi nakuombea kwa Mungu akufanyie wepesi katika kumtunza mwanao kwani kama hutakuwa na raha na huyu bwana kila wakati mnapigana, lugha za ajabuajabu mbele ya mtoto unafikiri atajifunza nini?

Itamuathiri kisaikolojia naye akawa mtu wa ajabu baadaye. Naamini akilelewa katika mazingira ambayo ni peaceful na hakuna mivarangati wala matusi, mtoto atakuwa mtu mzuri tu baadaye na hata km akibadilika basi ni yeye tu na akili yake but on your part, you played it well as a parent. Akikua atakuja kujua ukweli. Kila la kheri dada!
Wapendwa, asanteni kwa michango yenu...
 
Japokuwa umeamua lakini naona kama sababu za kuachana ziko katika nafasi ya kurekebishika kama bado mapenzi yapo ya nini kumuhangaisha mtoto kiasi hicho?

It takes two great hearts to work on resolving the relationship problems. Most of the time we separate for very selfish reasons either from both or one of the partners. Children become the victim of situation.
 

He is so pathetic! Yaani maisha yake yanaendeshwa na vijiwe na marafiki? He is not man enough to u dia. Kaa nae mbali, usiintertain upumbavu wake, usimjibu msg, mpotezee, songa mbele. I dont knw why some men are lyk dogs? Anazalisha then anajidai sio wajibu wake? Wengi watakusema vibaya ila uhusiano ukishaambatana na vipigo, matusi hakuna faida ya kuung'ang'ania hata kidogo! Be strong, lea mwanao mwenyewe imagne amekufa ungekufa nae? Na ktk njia ya uchungu upitayo kwa sasa usimsahau Mungu wako, piga magoti, mweleze unataka nini, mwambie akupe nguvu ya kusamehe ili uchungu ukuhshe moyoni upate kusonga mbele. Be blessed Noella.
 
Wewe umeishi kwa uzinzi kwa miaka saba. Leo unajidai kuuliza utaishi vipi na mtoto uliyemzaa kwa njia ya haramu? mtoto yeyote anezaliwa nje ya ndoa ni mwana wa haramu. Mlee ki haramu haramu na umpachike baba asiye wake.

Eeeeh! Chonde chonde taratibu
 

Jestina, kumbe ndo mambo yalivyo?
 
Last edited by a moderator:
Eeeeh! Chonde chonde taratibu

Mtoto wa nje ya ndoa, huwa "wazee waliofanya haramu" wanampa mateso. Kila ajae nyumbani anamwita "baba". Ukiuliza eti "utamaduni wa Kitanzania", hakuna utamaduni wa zinaa. Ni maadili kuporomoka.
 

Sidhani kama hao wadada wawili wanaweza kukufanya u generalize kuwa huoi msichana alolelewa na single parent. Anyway ni mtazamo wako tu ila ujue kuwa not all single mothers wanakuwa na negative attitudes towards men. Nina mfano halisi toka kwa my own mother, aliachana na first husband wake na aliolewa na my father! Sikuwahi msikia akisema anything bad about him!
 
:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S 112::A S 112::A S 112:






Wewe umeishi kwa uzinzi kwa miaka saba. Leo unajidai kuuliza utaishi vipi na mtoto uliyemzaa kwa njia ya haramu? mtoto yeyote anezaliwa nje ya ndoa ni mwana wa haramu. Mlee ki haramu haramu na umpachike baba asiye wake.
 
kumbe ndo maana wengine wanashushiwa vipondo na waume zao mpaka wanakuwa walemavu au kufa.....
yote ni kwa sababu ya kukimbia majukumu...
kuogopa kupambana na maisha na kulea watoto wao.....





 

Mandingo? Hili jina linasound vibaya kichwani mwangu.To prove jaribu kuliGUGO uone.
 
Ushauri wangu ni kuwa jiweke busy sana onesha kuwa bila huyo baba yake dogo kuwepo una weza pia mfanye baba yake mtoto kama dead part ya maisha yako ili awe huru na upumbafu wake ila uwe tayari kwa ajili kumsamehe maana inavyoonesha jamaa anakupenda ila kinachomsumbua ni ile dhana ya wanaume wengi wa kibongo kuwa mwanamke ukishamzalisha huwa hana pa kwenda so fanya hayo hapo kuprove wrong kwa dhana yake.JITENGE NAE NO COMMINICATIONS KWA MUDA FULANI ILI AKUMISS IPO SIKU ATAKUJA KWA AJILI YA MSAMAHA ,hii itamsaidia aache huo utoto wake wa kijiweni kuutumia kulea familia.KUTENGANA KWA WAPENZI MLIOZAA NI LAANA ENDELEVU SIO TU KWA NYIE,wala MTOTO laana hii huendelea hadi kwenye mahusiano mapya na wapenz wenu wengine.AKIJIRUDI zungumzeni kuhusu ndoa kuachana ni jambo la mwisho usilishabikie dada.
 
Breakups aren't just upsetting — sometimes they can literally turn your life upside down. It's hard to eat; it's hard to sleep; and it's hard to think clearly. In this excerpt from her book, "A Girlfriend's Guide to Getting Over Him", author Sandra Ann Miller lays down the law for the brokenhearted. She has created 10 essential ground rules to prevent the recently jilted from making the most common breakup mistakes. So if you're puffy-eyed and couch-bound (or know someone who is) print out these ground rules immediately. Read them, repeat them and live by them until he's totally out of your system — and trust me, eventually, she will be!
Before we go any further, you need to make some promises to yourself. Raise your hand and repeat after me...

I, (state your name), do, hereby, solemnly swear that I will not behave in the manner of a crazy ex-bf. I will not participate in foolish or destructive behavior. I promise to act in a dignified fashion and that means I will not do stupid things, no matter how I might rationalize them. Therefore, I vow the following: follow those 10 Rules




 
Mtoto wa nje ya ndoa, huwa "wazee waliofanya haramu" wanampa mateso. Kila ajae nyumbani anamwita "baba". Ukiuliza eti "utamaduni wa Kitanzania", hakuna utamaduni wa zinaa. Ni maadili kuporomoka.

zomba, mtoto wa haramu hana hatia yeyote maana hakuja kwa kujitakia. I will always support and sympathize with the kid...halafu mwanzo wa kuona watoto haramu ni lini? Mbona haya mambo yapo toka since immemorial.
Na la mwisho, kama wewe ni mzazi, mtihani unao ndani ya nyumba yako. Angalia isije haya kukukuta ukashangaa ya dunia.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…