Maisha ya wakatwa tozo la miamala katika picha

kuna muda magufuli anakumbukwa sema mbinu zake hazikua sawasawa
Mbinu zake zilikuwa za kikatili sababu aligundua amezungukwa na chui ila alikuwa na nia njema yule mzee. Mtamkumbuka sana aisee mie sikuona baya kama hukuingia anga zake japo kuna mambo aliyakosea kama binadamu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…