Maisha ya watu waliohusika kumfunga jela Nelson Mandela yalikuwaje?

Maisha ya watu waliohusika kumfunga jela Nelson Mandela yalikuwaje?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kama ambavyo nimekuwa nikisema humu kila wakati kuwa, katika hii duniani ambayo imekuwwpo kwa mamilion ya miaka, hakuna kinachotokea leo hii ambacho ni kipya zaidi ya teknolojia tu.

Yote yanayotokea leo hii hapa duniani, yamo ya kufananayo katika maandiko matakatifu na yamo pia katika hisitoria, hivyo ukiwaa muumini mzuri wa historia, unaweza kuonekana kiona mbali kama alivyo Lissu, na ukiwa muumini mzuri wa maandiko matakatifu, unaweza kuonekana Nabii kama ilivyo kwa Godbless Lema.

Yanayomtokea Mbowe leo hii,yalimtokea Yesu Kristo enzi hizo ambapo tunasoma kuwa alihukumiwa kwaa hila tu za wanadamu pasipo kuwa na kosa lolote.

Historia pia inatueleza watu kama kina Nyerere, Mandela, Gandhi na wengineo waliweza kushitaskiwa kwa makosa ya kutunga na nini ilikuwa hatima ya wapambanaji hao(karibu wote walikuja kuwa maraisi).

Kitu pekee ambacho hakisemwi sana ni nini ilikuwa hatima au maisha ya wale wote waliohusika katika kuwabambikizia watu hawa kesi wakiwemo majaji na mahaklimu waliotumika kuwahukumu.

Hivyo, tukijua maisha ya Polisi, waendeshe mashitaka, majaji na mahaklimu waliotumika kupora haki za watu kama kina Nelson Mandela, nina uhakika tutakuwa tumejua hatima ya maisha ya wote wanaotumika dhidi ya Mbowe leo hii

Kwa misingi huu, maisha ya watesi wa Mbowe hayawezi kuja kuwa tofauti na yale ya watesi wa watu kama Nyerere, Mandela, Gandhi na wengineo pamoja na wale waliotumika kumuhukumu na kumtesa Yesu Kristo.

Walau Pilato alinawa mikono na kutaka dhambi ya kumtesa Yesu(damu yake) isiwe juu yake tofauti na hawa wa leo wanaoishia kujitoa tu huku wakiwa teyari wameshatenda uovu.
 
Lema nabii? Mwizi wa magari sasa ni nabii [emoji23][emoji1787]
 
Ah !bavicha wamevurugwa na hii kesi kwani huko maisha ayaendi bila mbowe .ukienda jamahuri ya twitter headline mbowe ! Jamuhuri ya facebook pia mbowe !

Jamuhuri ya instagram nao mbowe na hapa nyumbani kwetu jamiiforum kila uzi mbowe eeh hii kesi bora hiishe tu na tujue maaana imeshakuwa kero sasa huku mitandaoni
 
Kwani maisha ya wana Hai waliomtungia uongo Ole Sabaya na kumfunga miaka 30 yakoje?

Jibu lake ni sawa na la Mandela.
Sabaya Kafungwa na Mwendazake sasa jiulize Maisha ya Mwendazake huko Aliko yakoje?
 
Kwani maisha ya wana Hai waliomtungia uongo Ole Sabaya na kumfunga miaka 30 yakoje?

Jibu lake ni sawa na la Mandela.
Unamaana jambazi alitungiwa uongo kufanya upoeaji au uusehemu ya washirika wa jambazi🏋️.
 
Mandela alijua atakufa tu baaasi...hayo mambo ya kutoka gerezani alishangaa sana hapo ikabidi tu!! atoe msamaha wa jumala na wale walinzi wake wa gerezanialiwaita Ikulu kwa majina akala nao akanywa nao!!! akatamka moyoni mwake nawasamehe kwa kauli moja!!

Akawapa maisha mazuri mnooo!! yeye ndo akawalinda sasa wasidhuriwe na watu waliompenda Mandela!...ajabu nakweli lkn ndoilikuwa ivo mpaka alipo kufa wali
istockphoto-1280105465-612x612.jpg
lia sana hawa jamaa!
istockphoto-182035658-612x612.jpg
na wengine wakalazwa ajili ya kulia!!...hayo ni mapito tu...huwezi kuwa na raha tuuuuu!! usikwazwe hata na shangazi yako!!! mengine tunasemaga tu let by gone be by gone!
 
Kama ambavyo nimekuwa nikisema humu kila wakati kuwa, katika hii duniani ambayo imekuwwpo kwa mamilion ya miaka, hakuna kinachotokea leo hii ambacho ni kipya zaidi ya teknolojia tu.

Yote yanayotokea leo hii hapa duniani, yamo ya kufananayo katika maandiko matakatifu na yamo pia katika hisitoria, hivyo ukiwaa muumini mzuri wa historia, unaweza kuonekana kiona mbali kama alivyo Lissu, na ukiwa muumini mzuri wa maandiko matakatifu, unaweza kuonekana Nabii kama ilivyo kwa Godbless Lema.

Yanayomtokea Mbowe leo hii,yalimtokea Yesu Kristo enzi hizo ambapo tunasoma kuwa alihukumiwa kwaa hila tu za wanadamu pasipo kuwa na kosa lolote.

Historia pia inatueleza watu kama kina Nyerere, Mandela, Gandhi na wengineo waliweza kushitaskiwa kwa makosa ya kutunga na nini ilikuwa hatima ya wapambanaji hao(karibu wote walikuja kuwa maraisi).

Kitu pekee ambacho hakisemwi sana ni nini ilikuwa hatima au maisha ya wale wote waliohusika katika kuwabambikizia watu hawa kesi wakiwemo majaji na mahaklimu waliotumika kuwahukumu.

Hivyo, tukijua maisha ya Polisi, waendeshe mashitaka, majaji na mahaklimu waliotumika kupora haki za watu kama kina Nelson Mandela, nina uhakika tutakuwa tumejua hatima ya maisha ya wote wanaotumika dhidi ya Mbowe leo hii

Kwa misingi huu, maisha ya watesi wa Mbowe hayawezi kuja kuwa tofauti na yale ya watesi wa watu kama Nyerere, Mandela, Gandhi na wengineo pamoja na wale waliotumika kumuhukumu na kumtesa Yesu Kristo.

Walau Pilato alinawa mikono na kutaka dhambi ya kumtesa Yesu(damu yake) isiwe juu yake tofauti na hawa wa leo wanaoishia kujitoa tu huku wakiwa teyari wameshatenda uovu.
Sahihisho kidogo:
-Nyerere hakuteswa japo alishtakiwa kwa treason
-Mahatma Gandhi hakuwahi kuwa Rais wa Nchi yeyote japo aliongoza hatakati za uhuru wa India (India/ Pakistan/ Bangladesh)
 
Back
Top Bottom