Ni wewe nigga!! Acha kujilisha umaskini kaa kiaskariTuna maisha magumu lakini ukitukuta humu tunavyokaza mafuvu ..๐๐๐โโ๏ธ
R chuga moja hiiNi wewe nigga!! Acha kujilisha umaskini kaa kiaskari
Hivi chalii yangu haunaga hata ela
Ndo maana nimeamua niwe mkweli naishi Ugweno๐na kila mutu profile inasoma Lives in Darasalama
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Hujakosea kabisa mkuuTuna maisha magumu lakini ukitukuta humu tunavyokaza mafuvu ..๐๐๐โโ๏ธ
Na jirani yako ni milima๐Ndo maana nimeamua niwe mkweli naishi Ugweno๐
Huku gharama za Maisha ni ndogo karibu mdogo wanguNa jirani yako ni milima๐
Siwezi ishi ugweno, mimi sio mlima kaka ๐Huku gharama za Maisha ni ndogo karibu mdogo wangu