Misimu kadhaa nyuma zinapokutana Simba na Yanga basi bila shaka Yanga anaenda kuwa underdog wa mchezo. Lakini sasa zama zimebadilika ni rasmi sasa Simba kawa underdog kuanzia msimu ulioisha. Makampuni ya makamaria wanaipa asilimia kubwa ushindi kwa Yanga vs Simba.
Na pia mechi ya leo ya Yanga kapewa asilimia kubwa sana ya kushinda dhidi ya Al Hilal. Yule mwanachama aliyekuwa anatamba na laki tatu yake kuwa ana uhakika Yanga anafungwa leo basi ni wakati wako huu wa kupiga ela. Kuna milioni moja na nusu kwa muhindi kwa laki tatu yako tu.