Mimi si mtaalamu wa uchumi lakini naweza kusoma nyakati, kiukweli umma hauna pesa mifukoni hali ambayo kimsingi inatokana na utekelezaji wa serikali iliyopo madarakani (Maisha yamebana bhana).
Kiukweli bei ya shamba (Eneo) la ekari moja ambalo linauzwa hapa Visiga - Kibaha ambalo ni shilingi 12 M za kitanzania ni ndogo ukifananisha na thamani ya eneo husika kwani lipo eneo karibu na viwandani ( Kwasasa kuna viwanda vikubwa vya GYPSUM, NDONDO N.K.
Katika hali ya kawaida kama uchumi ungekuwa rafiki kwa mikono ya Wananchi eneo hili lingeuzwa kwa zaidi ya Millioni 20 kwani ukizingatia miundo mbinu muhimu ya Umeme na Maji ipo vizuri.
Mpaka mchana huu eneo lilikuwa halijapata mnunuzi, hii inathibitisha kuwa Maisha yamebhana bhana.
Kiukweli bei ya shamba (Eneo) la ekari moja ambalo linauzwa hapa Visiga - Kibaha ambalo ni shilingi 12 M za kitanzania ni ndogo ukifananisha na thamani ya eneo husika kwani lipo eneo karibu na viwandani ( Kwasasa kuna viwanda vikubwa vya GYPSUM, NDONDO N.K.
Katika hali ya kawaida kama uchumi ungekuwa rafiki kwa mikono ya Wananchi eneo hili lingeuzwa kwa zaidi ya Millioni 20 kwani ukizingatia miundo mbinu muhimu ya Umeme na Maji ipo vizuri.
Mpaka mchana huu eneo lilikuwa halijapata mnunuzi, hii inathibitisha kuwa Maisha yamebhana bhana.