Maisha yamekuwa magumu sana

Afu Mjengwa anasema Jk anastahili sifa ukilinganisha na Mkapa, pamoja na mkapa alifanya mabaya lakin hawezi kulinganishwa na Jk.
 
Na wale wanaouza miili yao hawajapandisha bei?
 
Na wale wanaouza miili yao hawajapandisha bei?

Dah mzazi hao sijawauliza bei ni zile zile? Nahisi watakuwa wamebandisha si na wao tunakula nao kitaa
 
Mfumuko wa bei wa Taifa kwa mwezi Septemba 2011 umeongezeka hadi asilimia 16.8 ikilinganishwa na asilimia 14.1 kwa mwaka ulioishia mwezi Agosti 2011.
sources Mawasiliano: Mkurugenzi Mkuu,
Ofisi ya Taifa ya Takwimu....
i guess mwezi huu itaovershoot mpaka 20% cha moto tutakiona msimu huu wa 2010-2015( ni kama ukame wa makombe kwa aseno na livapuli)
god help pleaseeeeeeeeeeeeeeee....
 

We waache waendelee hawajifunzi kinacho wasibu wenzao huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…