mara ya kwanza kuisoma hii comment nilidhani kuwa ni utani flani hivi......lakini hapa juzi kati nilimuona kwenye chombo flani cha habari wakati wa habari za michezo akihojiwa kuhusu Yanga na GSM. Mh, aina na namna ya maneno yake aliyokuwa akiongea, facial expression na muonekano wake kwa ujumla inawezekana kuna kaukweli ktk ulichosemaBora Choki Ukimuona Muumin utamuonea Huruma kweli maisha yanaenda kasi sana...Kuna siku nilimuona kwenye Bajaji za kuchangia jero jero anaenda kunegotiate na manager wa BAR apige show siku ya valentine na siku nyingine tukapanda naye Mwendokasi aiseee yaani mpole anatia huruma.
mara ya kwanza kuisoma hii comment nilidhani kuwa ni utani flani hivi......lakini hapa juzi kati nilimuona kwenye chombo flani cha habari wakati wa habari za michezo akihojiwa kuhusu Yanga na GSM. Mh, aina na namna ya maneno yake aliyokuwa akiongea, facial expression na muonekano wake kwa ujumla inawezekana kuna kaukweli ktk ulichosema
ni kweli na hata sisemi haya kwa lengo la kukashfu au la hapana.....na isitoshe hapa nilipo nimechoka hoi na hata sijawahi kuwa na maisha! ni lengo ni kujaribu kujifunza na kuondokana na jeuri za ujana ambazo wengi wanazo, hawaangalii kesho yao!
Wakikaa chini, enzo itarudi...Kwa wakati wangu ile competition ya
Fm academia
Akudo impact
Twanga pepeta
Diamond musica
Mashujaa musica
Ilikua hatarii mnoo,, bongo fleva ilisahaulika kwa kipindi hizo band zinatoa vyuma kila kukicha,
Competition ya marapa kama msafiri diof,sauti ya radi,kitokololo,g7,canal top,ferguson n.k ilikua balaaaa
Daaaaa sijui tufanye je sisis wanywa lager hizi band zirudi kwenye ubora wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii sasa yako kali.....Mwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mipango ndugu.....Hivi yale mafuba yote waliyokuwa wanavuna tangu enzi za kina marehemu Mpakanjia yameishia wapi
Jamani anayejua wapi msondo wanapiga siku hizi? Wanamuziki wake ni kina nani kwa sasa?
Mwijuma Muumini anapatikana kwenye Mghahawa Bubu pale Mtoni Mtongani,anamsaidia Mmama kuuza chakula,ujira wake ukiwa ni kupewa msosi wa bure.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kapicha mkuu ili uone tofauti ya mzee wa farasi na babu wa farasiYupo Super Kamanyola ya Mwanza. Nafikiri wanaimba tu nyimbo zilizotamba zamani.
Nimemuona akikomalia kuiimba 'Nawashukuru wazazi wangu' ya DDC Mlimani Park najihisi kuhuzunika kiasi lakini sijui ni kwanini!!
Sijui huko Uingereza anampiga nani mizinga,maana hapa bongo kuna wakati alikuwa anatembea na mwanaw akiomba pesa kwenye mabaa tofauti yake na marehemu Matonya ni kuwa Matonya alikuwa akiomba amelala juani huku akicharazwa na jua wakati Diouf yeye alikuwa anazurura kutoka bar moja hadi nyingine na kujitambulisha mimi Msafiri Diouf ila du jamaa ni bonge la rapper kwa muziki wa kibongo hakunagaNakumbuka siku moja pale Mango Garden vijana kabla haijavunjwa walikuwepo Malaika Band chini ya Mzee wa Masauti wanaburudisha alikuja Msafiri Diouf kupiga mzinga wa buku 2 huku akijitambulisha mie ndio Msafiri Diouf naomba niwezeshe buku 2 angalua niweze kula.
Dah haya maisha noma sana.
Tatizo wasanii wanafanya starehe sana bila kujua future yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niamini mzee baba,jamaa kachoka kweli ndio maana katoa wimbo wake mpya "NIMEFULIA" sio uongo amefulia kweli ila jamaa mwili wake upo safi yupo vile vile kama miaka 16 iliyopita.mara ya kwanza kuisoma hii comment nilidhani kuwa ni utani flani hivi......lakini hapa juzi kati nilimuona kwenye chombo flani cha habari wakati wa habari za michezo akihojiwa kuhusu Yanga na GSM. Mh, aina na namna ya maneno yake aliyokuwa akiongea, facial expression na muonekano wake kwa ujumla inawezekana kuna kaukweli ktk ulichosema
Nilisikitika kuwaona ngwasuma pale kwetu pazuri tbt wanapiga muziki alafu hakuna anaesikiliza.Kwa wakati wangu ile competition ya
Fm academia
Akudo impact
Twanga pepeta
Diamond musica
Mashujaa musica
Ilikua hatarii mnoo,, bongo fleva ilisahaulika kwa kipindi hizo band zinatoa vyuma kila kukicha,
Competition ya marapa kama msafiri diof,sauti ya radi,kitokololo,g7,canal top,ferguson n.k ilikua balaaaa
Daaaaa sijui tufanye je sisis wanywa lager hizi band zirudi kwenye ubora wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha![emoji23][emoji23] nimecheka hadi jirani kagombaNilisikitika kuwaona ngwasuma pale kwetu pazuri tbt wanapiga muziki alafu hakuna anaesikiliza.
Kama taarabu tuDansi zama zake zishaisha.
Wakati walikua wanapiga show kwa 10k kwenye mabar na yanajaa hadi watu wanasimama njeNilisikitika kuwaona ngwasuma pale kwetu pazuri tbt wanapiga muziki alafu hakuna anaesikiliza.
Wakati walikua wanapiga show kwa 10k kwenye mabar na yanajaa hadi watu wanasimama nje