Maisha yanaenda kasi sana. Ali Choki ndo yupo kule!

Alishaacha uteja sasa na kaacha kuomba hovyo
Uteja unadhalilisha sana
Hlf kawa mnene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daah,jamaa wakamtoa au wakampiga kidochi?
 
Huyu legendary nilikutana nae Mwanza aisee,kachoka yaani yupo tuu.... Mimi kama mmoja wa wahenga nasikitika sana kumuona vile aisee.... huwa anapiga show Villa park pale.
Ama kweli wakati ni ukuta
Bora alipoenda mwanza huko kuna waungwana usiombe kuishiwa fedha ukiwa Dar, unaweza ukazani unanuka kikwapa, kila MTU akikuona kwa mbali utapishana naye mlangoni yule rafiki yako anakwambia narudi sasa hivi. Jamani choki aliwika , nilibet naye demu akanishinda, enzi hizo kuna internet cafe pale Vijana demu alikuwa msaidiz pale.
 
Nilisikitika kuwaona ngwasuma pale kwetu pazuri tbt wanapiga muziki alafu hakuna anaesikiliza.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 
Mshukuru mungu sana huyo jamaa ni greed ya taifa
 
Kabla ya Corona, Kila Alhamis wanakuwa pale Kisuma Bar Mwembe Yanga, Ijumaa wanakuwa Dar Safari Buza, na Jumapili wanakuwa Temeke Mwisho.

Naona wameamua kujikita ‘kiumeni’ tu, TEMEKE... hii ina ujumbe gani.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…