muhala.jr
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 746
- 655
Pombe iliumbwa kumfurahisha mtu
25Usijioneshe kuwa hodari wa kunywa pombe,
Maana pombe imewaangamiza wengi.
26Tanuri hupima ugumu wa chuma,
Na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.
27Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi.
Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.
28Kunywa pombe wakati wake na kwa kiasi,
Kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.
29Lakini kunywa pombe kupita kiasi,
Kunaleta kuumwa kichwa, uchungu na fedheha.
30 Ulevi huongeza hasira ya mpumbavu akajiumiza mwenyewe;
Humdhoofisha na kumwongezea majeraha.
31 Usimkaripie jirani yako kwenye pombe,
Wala usimdharau anapofurahia karamu.
Usimwambie neno la kumwonya,
Wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni
25Usijioneshe kuwa hodari wa kunywa pombe,
Maana pombe imewaangamiza wengi.
26Tanuri hupima ugumu wa chuma,
Na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.
27Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi.
Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.
28Kunywa pombe wakati wake na kwa kiasi,
Kwaleta shangwe moyoni na furaha rohoni.
29Lakini kunywa pombe kupita kiasi,
Kunaleta kuumwa kichwa, uchungu na fedheha.
30 Ulevi huongeza hasira ya mpumbavu akajiumiza mwenyewe;
Humdhoofisha na kumwongezea majeraha.
31 Usimkaripie jirani yako kwenye pombe,
Wala usimdharau anapofurahia karamu.
Usimwambie neno la kumwonya,
Wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni