Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Waishi kwa heshima, adabu, hekima na kutumia akili,au kuchanganya na zao.Nikifikiria jinsi Mzee wa mavieite alivyokuwa na madharau na jinsi alivyokuwa anawapiga mkwara viongozi waandamizi wa CCM lakini leo hii naye anapigwa mkwara na Chongolo nabaki kujisemea tu dunia inazunguka. Vijana ishini na watu wote kwa heshima na adamu, hakuna aijuae kesho yake. Polepole huyu alikuwa na jeuri ya kumkoromea yeyeote kasoro JPM tu lakini leo amekuwa mdogo kama piriton.
Inahusiana vipi na mada hii?Mbowe ananyea debe
Weye chungu unachopikia,hapo vipi.Mbowe ananyea debe
Kidume kwako labda ila wenye chama chao wamemkalisha.Bado ni kidume
Amemgaidi mama yako?Mbowe gaidi
We acha tu. Maisha haya.Umesahau Bashiru enzi zake za kupayuka.
View attachment 1888723
Akiendelea kushupaza shingo watamvua na kesi juu.Huyo anapaswa kuvuliwa ubunge wake wa kuhongwa!
Huwezi kuona uhusiano kama hutashugulisha ubongo...ni majuzi tu alikuwa akitamba huku na huko ila leo...Inahusiana vipi na mada hii?
Acha ujinga.Huwezi kuona uhusiano kama hutashugulisha ubongo...ni majuzi tu alikuwa akitamba huku na huko ila leo...
Kwa hiyo?Mbowe gaidi