James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢