James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 1,984
- 3,695
Mwili na akili yangu imezoea sana mchakamchaka wa kazi, yaani nikikaa bila kujishughisha najisikia unyonge sanaUnamiaka 26 tu unahisi kuchoka? Serious? 😥
Gen z wana utani sanaUnamiaka 26 tu unahisi kuchoka? Serious? 😥
Mmh miaka 26 unalia lia kukosa ajira mbona mapema hiyo ni kama cooling break tu, kuna watu wana miaka 50 hawana mbele au nyuma ila kila siku wana damka kutafuta Rizki hawaja kata tamaa, we awamu ya pili ya mama ya 2025 hadi 2030, hutaiweza pesa ya Tz ina poromoka kwa kasi biashara zina kufa hamna ajira za serikali, bora ongea na wauza sumu ya mende panya wakusaidie tu .Yaani basi tu, nimetafuta kazi sijapata, marafiki wamenikimbia, ndugu nao wapo kimya, hata nikiomba mtaji wananikatalia.
Nahisi kuchoka, nahisi kukata tamaa. Kuna muda nikilala natamani kusipambazuke. Sina baba, sina mama sina babu sina bibi. Muda mwingine naona hata waliopumzika makaburini wana afadhali.
kwanza nina umri wa miaka 26. Sina mpenzi wala mchumba wa kuzugia, yaani nachoka kabisa[emoji22][emoji22][emoji22]
Kazi za mchaka mchaka zipo nyingi kwenye masite. Au unamaanisha ajira rasmi?Mwili na akili yangu imezoea sana mchakamchaka wa kazi, yaani nikikaa bila kujishughisha najisikia unyonge sana
Kwa shida zote hizo bado unawaza kupata mchumba, seriously?Mwili na akili yangu imezoea sana mchakamchaka wa kazi, yaani nikikaa bila kujishughisha najisikia unyonge sana
Ume-edit kwanini sasa? Are you real or fake? We ni conscious au subconscious?kwanza nina umri wa miaka 26. Yaani nachoka kabisa😢😢😢
😥Kwa shida zote hizo bado unawaza kupata mchumba, seriously?
😍😍😍Our brains need healthy food, hayo mawazo uliyonayo ndio yanazidi kuattract shida na shida na shida tena...... Achana na mawazo ya hivyo mkuu utaona mabadiliko.
Word📌❤️Our brains need healthy food, hayo mawazo uliyonayo ndio yanazidi kuattract shida na shida na shida tena...... Achana na mawazo ya hivyo mkuu utaona mabadiliko.
Ubarikiwe sana mkuuMkuu kama mzma afya unayo nguvu unayo na Bado unaishi kwa hilo tu mshukuru Mungu. changamoto kila mtu anapitia ili kujifunza kitu, ili cku unazifumania ufanye ya msingi maana wakati mwingine mali ukizipata kiraisi bila msoto zinaishiaga kwenye starehe tu. kaza buti fanya kama upo darasani vile unachukuwa kozi. One-day yes