Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Wasalaam,
Jamani hali ya maisha imekua ngumu, kila kukicha mikosi.
Kila dili linafeli, ukiwa na shida marafiki wanakimbia, ukiomba msaada wanadhani unawakejeli hawakupi.
Ukiwaza kuroga upate pesa za ndago roho inasita maana umelelewa katika ukristo mpaka ndani ya moyo wako.
Nikijipa moyo nijichanganye na ndago picha za watoto Wangu na Mama yangu zinanijia kwamba ndago likikubali wanaweza wakawataka sadaka (kafala).
Ndipo nikiona mtu amefariki nashikwa na wivu na marehemu kwamba heri yake kaepuka balaa la dunia hi akapokee hesabu zake mbele huko.
Ewe Mungu nisamehe na tusaidie wazazi (hasa wanaume) tunaopenda familia zetu huku tunapitia changamoto ngumu za maisha hasa uchumi.
Jamani hali ya maisha imekua ngumu, kila kukicha mikosi.
Kila dili linafeli, ukiwa na shida marafiki wanakimbia, ukiomba msaada wanadhani unawakejeli hawakupi.
Ukiwaza kuroga upate pesa za ndago roho inasita maana umelelewa katika ukristo mpaka ndani ya moyo wako.
Nikijipa moyo nijichanganye na ndago picha za watoto Wangu na Mama yangu zinanijia kwamba ndago likikubali wanaweza wakawataka sadaka (kafala).
Ndipo nikiona mtu amefariki nashikwa na wivu na marehemu kwamba heri yake kaepuka balaa la dunia hi akapokee hesabu zake mbele huko.
Ewe Mungu nisamehe na tusaidie wazazi (hasa wanaume) tunaopenda familia zetu huku tunapitia changamoto ngumu za maisha hasa uchumi.