Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Mfano unalipa chumba elfu 30 kwa mwezi.
Inafika mwisho wa mwezi umejibana bana katika kipato/mshahara wako umebaki na tsh 20000(kuna watu wamecheka hapa)... Unafika kwa landlord anakuzingua anataka yote full ,atafoka, atajaza watu nk.. si kudhalilika huku
Ila wakikubali kila siku kupokea buku buku... Dah ingekuwa fresh aisee
Coz ni rahisi hata kama siku hiyo huna buku ukimfata mtu kama Mshana Jr ukimwambia nipe buku hapo... Anakupa fasta..
Ila una shida ya elfu 10 nani atakupa kirahisi rahisi... watu wenyewe kama akina Jane Lowassa au Mama Debora mmh
Inafika mwisho wa mwezi umejibana bana katika kipato/mshahara wako umebaki na tsh 20000(kuna watu wamecheka hapa)... Unafika kwa landlord anakuzingua anataka yote full ,atafoka, atajaza watu nk.. si kudhalilika huku
Ila wakikubali kila siku kupokea buku buku... Dah ingekuwa fresh aisee
Coz ni rahisi hata kama siku hiyo huna buku ukimfata mtu kama Mshana Jr ukimwambia nipe buku hapo... Anakupa fasta..
Ila una shida ya elfu 10 nani atakupa kirahisi rahisi... watu wenyewe kama akina Jane Lowassa au Mama Debora mmh