Maisha bhana *huwa nayo hayapendagi ujinga kabisa...!!!*
mshahara ukiingia tu wiki ya kwanza unakula kuku, ila wiki ya pili unaanza kula product za kuku (mayai) wiki ya tatu ya mshahara unaanza kula vyakula vya kuku (mahindi)...kimbembe huwa ni wiki ya nne maana unakuwa kuku kabsaa (unazurura tu)
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]