Nimeyapatia namshukuru Mungu
Nilikuwa silifahamu hili kabisathey real get hurt
Kwahiyo wanakuja kukuomba mchezo tena?wanajionea wenyewe
Anaekudharau siku moja atakusalimia kwa heshimaa
Kwahiyo hamna mtu anayekuomva penzi?!mwanamke ukiwa na uwezo wanaume wanakuogopa
Kwahiyo wapo watu wanakupasua kumbe mm nlidhani hamnaWenye nazo wanakuja
Sasa umefahamuje masuala ya wanaume?
Ulivyosema wanaume wanakuogopa nilidhani hamna anayekukaza kumbe unapasuliwa vzr tu hamna watu kujali hali ya maisha wala nn[emoji23] [emoji23] ulifikiri natumia maji ya moto kujikanda