jerry joshy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 402
- 504
Mi ninavyoona maisha sio magumu na hayajabadilikaa ilaa utofauti ni jinsi ulivyokuwaaa unajipatiaa kipato chako kama ilikuwa ni kwa halali maishaa yatakuwa ndo yale yale ila kama mlikuwa mmezoeaa janja janjaa lazima jua liwawakiee 24/7